Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
yaani ni kwamba mgombea wa ccm katoga sikio, so wanasema ni muhuni hafai kuwa mbunge wa watu wastarabu kama wameru so wasimchague.
mm ni cdm damu lakini naamini uongozi mzuri hauusiani na sikio lililotogwa! Mbona sugu katoga na bado ni kiongozi mzuri sana!! Mbona mtiro naye katoga na ni balozi wa tz nchi za nje!!!!