hata kwenye facebook page ya kikwete wamelink na TBC1 nina ona kwenye ustrem wakuu
Dah hapa vikao vidogo vidogo ..jakaya anarudishwa hapa
Anaelezea kuwa ameshughulikia Rushwa . . .
MASLAHI YA WAFANYAKAZI
Wamepandisha Mishahara ingawa si kwa kiwango cha TUCTA.
Anadai hawawapuuzi wafanyakazi
mkwere kasema Bwana aasifiwe duh sijawahi msikia kutamka kauli hii