Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
siku ya kwanza tu hivi. Hivi huyu ana ugonjwa gani jamani. Dhoofu hali
Nilifikiri unatuletea habari za mashindano ya mziki maana habari zako nyingi zinahusu kina mamelody TOT kopa Dokii kumbe ni mkutano wa kampeni.kamanda si mashindano . . . . nadhani wanahamasishana . . .
Atuambie siri ya ugonjwa wake, kama Watanzania tunastahili kujua.....
Mbona mheshimiwa Karume anafurahi tu????