Ndiyo ni mkubwa sana. Lakini kazi kubwa imefanyika kuwapeleka pale. Majira ya saa 4 asubuhi nilikuwa natoka Magomeni kwenda Chang'ombe, nilikutana na zaidi ya mabasi 8 hivi yakiwa yamejaza wafuasi wa CCM wakielekea kule. Sasa hapo sijui barabara zingine kuu kama vile Morogoro Rd etc.
nilikuwa namsikiliza makamba anahubiri dini kisha karume anadhihirisha kuwa huwa wanaiba kura namnukuu 'tukishakabidhi ilani tunachukua kura zetu na kuwekaa 'watu wameitikia waaaa