lamekiAgustino
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 340
- 1,018
Ndugu waumini, mimi mudahuu ndio nimemalizia kula daku wewe je?
vizuri mkuuMimi ndo naanza hapa
Watu mnakula shibe yake inaisha daku ijayoπππNapumulia mashine muda huu maana pumzi haipiti vizuri kwenye njia yake
Ndio maana wakimaliza mfungo wanakuwa vifutu..yaani kimsingi wamebadili majira ya kulaMnafakamia misosi usiku kucha
Bora yetu wagalatia huwa tunapumzika kula chakula kimoja unaamua kufunga kula Magimbi au makande siku 40 ndo funga imekamilika hiyoNdio maana wakimaliza mfungo wanakuwa vifutu..yaani kimsingi wamebadili majira ya kula
Joannah wee upo against kabisa na sisi kula usiku..Ndio maana wakimaliza mfungo wanakuwa vifutu..yaani kimsingi wamebadili majira ya kula
Daaah aiseee πππBora yetu wagalatia huwa tunapumzika kula chakula kimoja unaamua kufunga kula Magimbi au makande siku 40 ndo funga imekamilika hiyo
Sasa mlitaka tusile au πππππMnafakamia misosi usiku kucha
ππππ Hovyo kabisa πππWatu mnakula shibe yake inaisha daku ijayoπππ