kwa ulaji wake huu naweza guess umbo la mwili wake lilivyoDejane unazingua!!! Kwani hiyo ngozi imekukosea nini mpaka uitelekeze hivyo??😩😩
y dearnakmba kuelekezwa ulivopika hayo harage bila nyanya
Nieleze umeyapikaje hayo maharage bila nyanya
Ananikeraga huyu mtu basi tu akiambiwa hasikiagiMkuu Mshana tukumbushane hapa,
"Huu uzi wa vyakula tu"
Ww umeuanzisha.
Tokea mwanzo ukaweka panya kwenye mkate nikakosoa,
Kuna wengine wakaweka mende na wadudu wa ajabu nikakosoa,
Sasa tena umeanza kuweka wanyama wa ajabu miguu ya kenge ,mijusi, mnakula kwenu huko?
Panyabuku?Mamba,Nyau pori,
Nyoka
Uliona wapi mtanzania anakula hao wadudu?
Mbona vyakula vingi tu vipo vya kawaida tu.
Uzi umeanzisha mwenyewe unaharibu mwenyewe,
Hapa watu tunakuja na njaa zetu kuja kula,
Hayo matakataka huwa unaweka yaani unatukata stimu kabisa.
Ujinga gani huu unafanya?
Weka hata makande pls,
Sasa njaa yangu yote imekata kwaajili ya wewe umeweka picha mchuzi limguu la mnyama gani sijui,
Inatia kichefuchefu.
Hapa Chakula nashindwa kula tena,upuuzi gani huu.
Mi sili nyama bila ngozi ,lete msosi wa sikukuu hapa usintanie🎄🎁🍾Mi sili ngozi
Lizzy karudi🤷♂️🎄🎁🍾
Hii staili ukitaka usipunjwe chipsi, agiza hivi yani yai pembeni.Vya asubuhiView attachment 2848811