Aisee we jamaa kiboko una utani na mamoderata nini? 🤔Ubwabwa na pilau siyo chakula.Vikwepe kadri uwezavyo.
Leo nataka nijipikilishe.. Nina ugeni raasmi sanaHahahahaha Mshana Jr umenikumbusha maisha halisi nilio kulia kwetu kijijini
😊mpaka nimepata njaa
Mie huu ni uzi wangu wa kutafutia njaa, appetite na munchies. 😀😊mpaka nimepata njaa
Sio vizuri hivyo😌, sina pakupata hata maziwa leo.Mie huu ni uzi wangu wa kutafutia njaa, appetite na munchies. 😀
Njoo unywe, tena haya huna nayagandisha mwenyewe, matamuuuu bakuli lake la kugandishia safiiii 😀Sio vizuri hivyo😌, sina pakupata hata maziwa leo.
Bora hata nimepata mwalimu, naomba nielekeze jinsi ya kugandisha maziwa nimechoka kudoea kwa watu☺Njoo unywe, tena haya huna nayagandisha mwenyewe, matamuuuu bakuli lake la kugandishia safiiii 😀
Halafu buana umeacha kupost misosi na wewe huwa unatusababishia majanga hasa kama mtu uko sehemu hakuna chakula 😀
Kutoka mtandaoni🥗Njoo unywe, tena haya huna nayagandisha mwenyewe, matamuuuu bakuli lake la kugandishia safiiii 😀
Halafu buana umeacha kupost misosi na wewe huwa unatusababishia majanga hasa kama mtu uko sehemu hakuna chakula 😀
Bila shaka bila shaka.Bora hata nimepata mwalimu, naomba nielekeze jinsi ya kugandisha maziwa nimechoka kudoea kwa watu☺
Ooh Asante sana niliwahi pata matokeo mazuri mara moja tu, ila zilizobaki nimeishia kumwaga maziwa huku roho inauma....Kwa hatua ya kwanza kuyachachusha ni muhimu maziwa yafunikwe.?Bila shaka bila shaka.
Simply nunua maziwa fresh ya ngombe ambayo hayajatiwa maji, chuja katika sufuria chemsha na yaache yapoe. Ukihakikisha yamepoa kabisa chuja katika bakuli safi then tia chachu, (chachu yaweza kuwa maziwa ya mtindi uliyonunua ya pakti, au hamira kidogo sana), then yaache bila kuyagusa/tikisa/sumbua labda kwa usiku mzima. Kesho ukiyaangalia unakuta yameshakua mtindi mzuri kabisa. Then unaweza badili chombo au kuweka katika fridge tayari kwa kuliwa.
Wengine katika kuchachua huwa waweki chochote wanayaacha yalale hivyo hivyo yataanza kuganda na kutengeneza mtindi yenyewe, sijui kwa wao lakini kwa mimi huwa naona yanatengeneza kaharufu fulani hivi kabaya. Kwahiyo njia yangu ya kuyachachua ni kuweka mtindi ule wa pakti kidogo tu kama robo kikombe. Same as hamira pia ukitumia italeta kiharufu fulani.
NB: 1. Kuwa na vyombo viwili maalumu kwaajili ya maziwa tu, kimoja gandishia, asubuhi yakishaganda hamisha kwenye chombo kingine, kile cha mwanzo osha kausha subiri routine nyingine utaanza nacho. Mzunguko unakua huo huo, isipite siku mbili bila kubadili na kuosha chombo chako.
2. Harufu husabishwa na uchafu wa chombo cha maziwa, au maziwa yalianza kugandishwa yakiwa bado ya uvuguvugu.
Sio lazima ila yawe sehemu safi ambayo wadudu hawawezi kuingia na vumbi, na wingi au uchache wa chachu unategemea room temperature, kama pana joto sana unaweka kidogo, kama pana baridi unaongeza chachu.Ooh Asante sana niliwahi pata matokeo mazuri mara moja tu, ila zilizobaki nimeishia kumwaga maziwa huku roho inauma....Kwa hatua ya kwanza kuyachachusha ni muhimu maziwa yafunikwe.?
Asante sana, barikiwa Dear😍Sio lazima ila yawe sehemu safi ambayo wadudu hawawezi kuingia na vumbi, na wingi au uchache wa chachu unategemea room temperature, kama pana joto sana unaweka kidogo, kama pana baridi unaongeza chachu.