Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,480
- 78,728
Unakula vinono, vimepangiliwa ,safi sanaahahah kwanin
Unakula vinono, vimepangiliwa ,safi sanaahahah kwanin
Mhmhh imagination inautesa ubongo, muombe akutumie picha au unaogopaHahahaha, we mtoto utakua na ngozi nyororo na laini sana
Naomba mwongozo Dina,
Hahahaha, unamjua nn Mkuu, acha nimpe sifa hata kama .....Mhmhh imagination inautesa ubongo, muombe akutumie picha au unaogopa
Mhmhh imagination inautesa ubongo, muombe akutumie picha au unaogopa
Unakula vinono, vimepangiliwa ,safi sana
Hahahaha, unamjua nn Mkuu, acha nimpe sifa hata kama .....
Picha siku nyingine akipenda
Naomba mwongozo Dina,
Nikusaidie kukuombea picha, shida naweza nikabadili mawazo nikajiwekea ndani ,Hahahaha, unamjua nn Mkuu, acha nimpe sifa hata kama .....
Picha siku nyingine akipenda
Wee umeona wapi mtu mzuri akijisifia yeye mzuri, hakika utakua umenyoka balaa, mchizi mpaka anakuogopa kukujia pm.Yaan hata asijisumbue akiniona atakimbiaa
Wanaolewa siku hizi ndiyo ni wa kawaida... Slay queen nani anawaweza, hebu tupia msosi kwanza wa leo mapichi ndiyo story za humu.mim wa kawaida mno mno Yaan habari za kukimbiana sitaki ujue mniache ubungo ee
Wee umeona wapi mtu mzuri akijisifia yeye mzuri, hakika utakua umenyoka balaa, mchizi mpaka anakuogopa kukujia pm.
Njoo hapa , tuma msosi kwanza wa leokwaheri aisee
Wanaolewa siku hizi ndiyo ni wa kawaida... Slay queen nani anawaweza, hebu tupia msosi kwanza wa leo mapichi ndiyo story za humu.
..mim wa kawaida mno mno Yaan habari za kukimbiana sitaki ujue mniache ubungo ee
Hii mboga unatakiwa ulie ugali sio ubwabwa, pilipili usisahau nq kasamaki ka kukaangaNyanya chungu na tembele, ugali uje nao mwenyeweView attachment 1498996
Hahahaha, dah mm sinaga tabia hizo ,ingawa sijawahi pokea mgeni toka humumim wa kawaida mno mno Yaan habari za kukimbiana sitaki ujue mniache ubungo ee