Kitu kama hiyo nimeiona Iringa, wahehe mahindi kabla ya kusagwa, huyavundisha kwenye maji baada ya hapo ndio wanaanika na kusagwa unga, huwo ugali wake ukipikwa unanukia uvundo.Siyo sembe tu.Mbeya ina utamaduni wa hovyo sana wa kula vyakula vya hovyo sana,mara vyakula vingine vya wanga mnaloweka kwanza kwenye maji kwa muda fulani ili kuondoa virutubisho.Ni utamaduni wa hovyo kabisa.
Imagine Mbeya ndiyo inaongoza kwa kuzalisha chakula hapa nchini lakini pia inaongoza kwa tatizo la udumavu.Tumia elimu uliyonayo usalimike kwenye haya masuala ya lishe.
UmetuchambaSiyo sembe tu.Mbeya ina utamaduni wa hovyo sana wa kula vyakula vya hovyo sana,mara vyakula vingine vya wanga mnaloweka kwanza kwenye maji kwa muda fulani ili kuondoa virutubisho.Ni utamaduni wa hovyo kabisa.
Imagine Mbeya ndiyo inaongoza kwa kuzalisha chakula hapa nchini lakini pia inaongoza kwa tatizo la udumavu.Tumia elimu uliyonayo usalimike kwenye haya masuala ya lishe.
Haunuki uvundo mkuu,labda kama mlikuta huo unga umeoza.Kitu kama hiyo nimeiona Iringa, wahehe mahindi kabla ya kusagwa, huyavundisha kwenye maji baada ya hapo ndio wanaanika na kusagwa unga, huwo ugali wake ukipikwa unanukia uvundo.
Vyakula vya watu wavivu kupika
Vile wanafunga kishungi kdg kwa uzi.Kiche ni nini?
Mualiko huoWewe dada unajua kupika
Hivi mint inastawi kwenye mazingira gani?Ni kwenye hali zote za hewa na udongo?Vile wanafunga kishungi kdg kwa uzi.
Like wanavyofunga mchicha. Sijui jina jengine wanaita shada.
Kiswahili nacho kigumu
Mara ya mwisho kula majimbi na viazi vilivyochemshwa ni lini?
Mara ya mwisho kula majimbi na viazi vilivyochemshwa ni lini?
Nitakaribia unifundishe na mimi japo kidogoMualiko huo
Hahah!Vyakula vya watu wavivu kupika
Mambo vipi Anne!
Zinapatikana wapi mkuu?
Mint maporini!!Sidhani labda umefananisha.
Huku Kwetu inauzwa kiche sh 500 mpk elfu 1