Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,585
- 12,439
Nakazia jamaniKobe![]()
Nakazia jamaniKobe![]()
We dada weee






















Endeleeni kuniumiza moyo wangu, wewe, dingimtoto, amu, missyrose, lakini mkumbuke siku nikipata access na jiko hapatakalika hapa!!









Huyo nammudu vizuuri, na si unajua huo umri wa teenage wanaazaga kubadilika. Wanahitaji Sana mtu awe karibu kumuelekeza kuhusu changes in her body na consequences zake.14 tu..![]()
Endeleeni kuniumiza moyo wangu, wewe, dingimtoto, amu, missyrose, lakini mkumbuke siku nikipata access na jiko hapatakalika hapa!!
![]()



Endeleeni kuniumiza moyo wangu, wewe, dingimtoto, amu, missyrose, lakini mkumbuke siku nikipata access na jiko hapatakalika hapa!!
![]()
Mbaazi ziwaa? 🤷🏾♂️🤤😇
Kipindi bado niko kwa Bimkubwa nilikuwa napenda siku akipika futari ya maandazi kwa maharage then pembeni kuna chai ya tangawizi/chai ya maziwa iliyokolea hiliki au uji wa mtama uliokolea pilipili manga! Nilikuwa nakula mpaka naisahau shibe yangu!



Kudadadeki, simba mwanaharamu kweli huyo, yaani kaua mama na mtoto bado amemshikilia mamake tu, hakana choice, kataliwa ka bubblegum hako katoto, gaddamn!!!! 🤣 🤣 🤣 🤣
Enyewe mambo ya mbugani hatuyawezi, kule ni survival for the fittest kweli. Kuna mpiga picha ameingiza hela hapo tayari, sio rahisi ku snap kapicha ka hako (rare moments in the wild)Mimi imeniumiza sana
I see!Enyewe mambo ya mbugani hatuyawezi, kule ni survival for the fittest kweli. Kuna mpiga picha ameingiza hela hapo tayari, sio rahisi ku snap kapicha ka hako (rare moments in the wild)
Ha haaaaa haaa. Mambo ya zamani hayo.Mbaazi ziwaa?![]()
Sio poa
Naaminia, rosti pia ni sawa! 😋😄Ha haaaaa haaa. Mambo ya zamani hayo.
Siku izi hata kwa roast twala
Hii picha imeusononesha moyo wangu