Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

We dada weee[emoji2817][emoji2817][emoji2817]
Na mimi naitwa Moh'd ujue! [emoji2986][emoji2986][emoji2986]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Endeleeni kuniumiza moyo wangu, wewe, dingimtoto, amu, missyrose, lakini mkumbuke siku nikipata access na jiko hapatakalika hapa!!
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji1787]
20210416_204453.jpg
 
Kipindi bado niko kwa Bimkubwa nilikuwa napenda siku akipika futari ya maandazi kwa maharage then pembeni kuna chai ya tangawizi/chai ya maziwa iliyokolea hiliki au uji wa mtama uliokolea pilipili manga! Nilikuwa nakula mpaka naisahau shibe yangu! [emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Kudadadeki, simba mwanaharamu kweli huyo, yaani kaua mama na mtoto bado amemshikilia mamake tu, hakana choice, kataliwa ka bubblegum hako katoto, gaddamn!!!! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Mimi imeniumiza sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom