Mzee wa vilinge kitimoto unakula?
Pita hapoMwenye glass ya mtindi anisaidie huu ugali uisheView attachment 1678022
Kuna mtu ana njaa hapa.Punguzeni speed tafadhali
😍😍 asanteni wazee wa kujipendelea
Namna hii huu mwili utapungua kweli ba mjengo?Mimi naleta rojo ya pork , tonge mbili umekata
Mshana Jr Kuna kijana anatikisa ngome huku🏃♀️Hakuna kulala njaaView attachment 1678479
😋Kumekuchaaa pande hiziView attachment 1678046
Teh teh teh unaijua hii kitu.Mshana Jr Kuna kijana anatikisa ngome huku
Teh teh teh unaijua hii kitu.View attachment 1678531
Mi nna tatzo na makande..hata yawekwe nn..sjawai kuyapenda.....nmekula kande form1 had 4...nikiyaona hiv nasisimka mwil...hata yawekwe nin..hata yapikwajeKumekuchaaa pande hiziView attachment 1678046