Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Daaah!!!Kumbe mpaka jina lake unalikumbuka kwa ufasaha kabisa?Wewe ni noma sana!Halafu siyo "Tolu"
Ni Tola
Leo kulikuwa na hali ya mawingu mchanaGiza likatanda rum kwangu.
Daaah!!!Kumbe mpaka jina lake unalikumbuka kwa ufasaha kabisa?Wewe ni noma sana!Halafu siyo "Tolu"
Ni Tola
Leo kulikuwa na hali ya mawingu mchanaGiza likatanda rum kwangu.
huyu atakuwa anatoa mkoa hulee
Eti mzee wa kwio!



Dada mtaalam..naomba uliza swal.kuna siku mchepuko nilienda kwake akanipikia kuku.wali harage na mboga flan ya majan ilikua nadhan chinese ile ila sasa ule utam sjawai kula mboga tam kama ile..sjui aliweka maziwa mule sjui nn...kila nikimuuliza recipe anasema nimuoe atanambia....ilikua na ka usukar kwa mbaal...halaf nzito. Heb nisaidie labda unaelewa




Hilo zege la dagaa


Mkuu hili zege uchungu wake ni kama kula dawa vile!Hilo zege la dagaa![]()



Dada mtaalam..naomba uliza swal.kuna siku mchepuko nilienda kwake akanipikia kuku.wali harage na mboga flan ya majan ilikua nadhan chinese ile ila sasa ule utam sjawai kula mboga tam kama ile..sjui aliweka maziwa mule sjui nn...kila nikimuuliza recipe anasema nimuoe atanambia....ilikua na ka usukar kwa mbaal...halaf nzito. Heb nisaidie labda unaelewa