Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Nimekikumbuka kile
Yani mpaka majiran watashangaa![]()
Yani mpaka majiran watashangaa![]()
Huyu ni mbuzi ama mdudu.
Wee Mama punguza kula!
View attachment 1196590 mapambano yanaendelea
Nilikuwa nafikiria kitu hicho hicho.Mbona unatumia mwiko wa chuma kwenye nonstick pan ?
Huwa sipendi kolabo ya samaki na nyama
Halafu ni kweli ujue..unakuta mtu anapiga wali,nyama,maharage na samaki juu..😂Watu wengi wanakula mboga sawa mf nyama Maharagwe samaki zote protein


Halafu ni kweli ujue..unakuta mtu anapiga wali,nyama,maharage na samaki juu..![]()
Moja ya mboga za majani nizipendazo ni mchicha, majani ya kunde.View attachment 1196590 mapambano yanaendelea
Utapata kitambi wewe mrembo..Karibuni tuporokeView attachment 1197304