BAFA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 3,059
- 5,937
Men hizi mzuzu zilizoungua na kuiva kwa mkaango ni tam sana ndio maradhi yangu (ili ziwe tam agiza ndiz mkono wa Tembo muheza tanga na Pemba zipo ujarbu kukaanga hutaacha)
Men hizi mzuzu zilizoungua na kuiva kwa mkaango ni tam sana ndio maradhi yangu (ili ziwe tam agiza ndiz mkono wa Tembo muheza tanga na Pemba zipo ujarbu kukaanga hutaacha)
leo nimeingia ktk huu uzi kwa ajili yako tuKiporo cha wali maharage na chai.
#myxmassmorningView attachment 976723
View attachment 976809xmass yangu inakwenda kama hivi
Hivi xmass ndio nini?
Hiyo x ina maana gani?
Pilau liko poa ilo,linakosa Tu vishomboshombo.
Nipo seblen hapa nakusubir Bibie kiive maana umekataaa nisije tusaidiane






tayar karibu

dah pilau ukilitia maharage kunoga sanaaaa
Mtarudi mjini na vitambi mpaka mshindwe kufanya matusi shauri yenyu




Hamna hata mwaliko?
Daah leo tutakula kwa macho hadi tukome
Hahahaaa karibuleo nimeingia ktk huu uzi kwa ajili yako tu
kila muda naload pages tu nasubiria pilau hapa na mualiko kabisa
Hiki nikila sishibi kabisa kinaishia kwenye fizi tu
Dah, nimetuma msg had vidole vinauma
Kipo kingi hyo ni portion yangu mkuuHiki nikila sishibi kabisa kinaishia kwenye fizi tu
anhaaaa ongeza portion hiyo mkuu. Kwa hiyo portion yako mi nikama nasukutuwa tu hapo ndio nianze kulaKipo kingi hyo ni portion yangu mkuu
Wakati umenifungia viooHamna hata mwaliko?
Usipende kuiga kitu usicho kijuaHata sijui labda tuwaulize wazungu