Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,299
- 46,753
Ndio mkuu..kutokuwa tu na elimu ya lishe,,.mtu unakula ugali mkubwaa usiku..Wanashauri usiku ule msoci lainiii
Ndio mkuu..kutokuwa tu na elimu ya lishe,,.mtu unakula ugali mkubwaa usiku..Wanashauri usiku ule msoci lainiii
Chapati sio laini ila hahaWanashauri usiku ule msoci lainiii
Hahah..! Ni kweli Wa nakuambia bora kulaNdio mkuu..kutokuwa tu na elimu ya lishe,,.mtu unakula ugali mkubwaa usiku..
Chapati sio laini ila haha
Huu ugali bado nauwaza mpaka saiv. Sema mlenda mimi noooo sili kabisaa.Wapenzi wa ugali mlenda na dagaa tujuaneView attachment 899769



nitaula leo usikuNi double fries au?

Aisee..fries kama zote..you eat them on daily basis??
Mzee wa Man U wewe hulagi? 😀Aisee..fries kama zote..you eat them on daily basis??
Nina miaka sijala fries mkuu...Mzee wa Man U wewe hulagi?![]()
Sijamaanisha fries mkuu. Sijawahi kuona umeleta picha ndio maana nikaulizaNina miaka sijala fries mkuu...
Sijamaanisha fries mkuu. Sijawahi kuona umeleta picha ndio maana nikauliza

..Nakulaga migahawani mkuu kutokana na mishe nazozifanya kwa sasa..sasa kupiga picha naona ni uwaki kidogo...Unaanya nini wakati unakula hela yako arif? 😂..Nakulaga migahawani mkuu kutokana na mishe nazozifanya kwa sasa..sasa kupiga picha naona ni uwaki kidogo...
Misosi yenyewe ni ile ile..unajua ni kama vile member wengine humu hawachangii mada lakini wao ndo wanaoongoza kwa kusoma nyuzi humu...Unaanya nini wakati unakula hela yako arif?![]()
Vip miss