Uzi wa vyakula tu

Wazee nina samaki mbichi hapa nielekezeni namna ya kutengeneza mchuzi shata safii
Kitunguu, tomato, hoho,kitunguu swaumu, tangawizi, nazi piga pamoja zikarange zilegee,weka, samaki aliyeoshwa vizuri tu, maji kiasi pika moto mkali dk 10 tu, kaiva huyo vwala, wali, ugali, ndizi viazi ukitaka ni unaweka mwanzo tu na zile mboga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…