Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Si tulikua mtu 3 tukuyu hapo, ikawa choma lete kaanga lete,choma lete tunashushia na Bapa.
Tulimla mdudu sijui kilo ngapi mpk tukasahau tunaenda wapi kwa kuvimbiwa
aisee Mimi roast inanishindaga hata nusu simalizi ya kukaanga ndo yenyewe mazeee ngoja kesho ao jmos naweza kwenda kyela kutembea nitaagiza moja na nusu peke angu.
 
20230706_190828.jpg
 
Back
Top Bottom