Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,933
- 13,944
Ongera.Leo imechambuka kiasi chake na imeiva maana nilichona na kisu kikatoka vizuri.
Nimeimprove kidogo.
Umekuwa fundi sasa
Ongera.Leo imechambuka kiasi chake na imeiva maana nilichona na kisu kikatoka vizuri.
Nimeimprove kidogo.
Kidogo🙏Ongera
Karibu auntie nimeshakutumia location ushindwe ww tuNasubiri mwaliko new yia![]()




Hawa ndo wadada wa kuoa hawa.Leo tena
My cake is so yummy today Aloo
Kama sponge..this is what i wantedView attachment 2064921View attachment 2064922
Dah nimepambana sana nilikuwa siwezi kupika ikawa kama sponge...Hawa ndo wadada wa kuoa hawa.



Panya huyo mkuu?NangurukuruView attachment 2054264