Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,552
- 70,470
Ukitaka kufanya jambo ni vizuri ukaanza pale pale. Ukisema utaanza January ikifika utasema tena ngoja nianze baada ya Pasaka. Hautakaa uanze.Naanza january maana hichi kitambi kinanikimbiza sana ila hapo kwenye mboga za majan ndomtihani
Anza sasa.