Afya tupu yaaniMuhogo laini wa kuiva.
Afya tupu yaaniMuhogo laini wa kuiva.
Dah sasa hiyo pilipili pembeni ndo kabisa, ni menu nzuri hasaa
Mambo vipi lakini? Uko poa!Nilikuwa nimesahau....ngoja nianze kuzingatia
Wakubwa mnafaidi vinono
Hata sasa wengine tunayoMeko ya nyakati zetuView attachment 2016166
Kiasili zaidi. Umenikumbusha mbali
Mkuu mie hapo ugali mkubwa pilipili na kandim tu.
Hii ni Viagra tosha