Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,191
- 46,235
Nakubali mzee
Nakubali mzee
Nimejitahidi kuweka vingiMashaAllah. Kuleni kwa afya.
Napenda sana pilau likolee viazi
Hizi kwetu tunaziita ndyali,sasa bibi alikua anazipika mixer maharage mabichi na maziwa nyama mbwembwe tu na siku akiamua ilikua pork belly lile na mafuta yale analiweka juu kabisa pale basi linateremsha utamu wote chini kwenye ndizi hageuzi anatikisa tu.Baada ya kuambiwa nyumbani wamepika ndizi mchana, nikavumilia njaa ili nije kula home ndizi, nazipenda sana.
View attachment 1973072
Mkuu wewe ni mtu wa nyanda za juu kusini?Hizi kwetu tunaziita ndyali,sasa bibi alikua anazipika mixer maharage mabichi na maziwa nyama mbwembwe tu na siku akiamua ilikua pork belly lile na mafuta yale analiweka juu kabisa pale basi linateremsha utamu wote chini kwenye ndizi hageuzi anatikisa tu.
E bana utamu unatoka pale sijawai kuupata.
Mi Nilikua naomba chai tu ili hata nishibe vipi nagonga fundo kazi iendelee.
Tatizo bibi hali kabisa,akimaliza kupika akaweka chungu pembeni huyo anatimka zake mashambani huko na mundu au jembe
MDAU, kumbe wewe ni Mchokozi.
MmmmmmhhhKaribuni Mishikaki ya Nyoka.
Leo umeingia mwenyewe Mtamboni? au Mambo ya yule Dada anaepika Chakula kingi?
Yah TKZ
Huyu kama bibi yangu vile, kuna mapishi alikua anayamudu vibaya mno, kuna hadi ndyali za kipome dah, May your soul keep resting easy Bibi😘😪Hizi kwetu tunaziita ndyali,sasa bibi alikua anazipika mixer maharage mabichi na maziwa nyama mbwembwe tu na siku akiamua ilikua pork belly lile na mafuta yale analiweka juu kabisa pale basi linateremsha utamu wote chini kwenye ndizi hageuzi anatikisa tu.
E bana utamu unatoka pale sijawai kuupata.
Mi Nilikua naomba chai tu ili hata nishibe vipi nagonga fundo kazi iendelee.
Tatizo bibi hali kabisa,akimaliza kupika akaweka chungu pembeni huyo anatimka zake mashambani huko na mundu au jembe
Leo umeingia mwenyewe Mtamboni? au Mambo ya yule Dada anaepika Chakula kingi?
Rip bibi.Huyu kama bibi yangu vile, kuna mapishi alikua anayamudu vibaya mno, kuna hadi ndyali za kipome dah, May your soul keep resting easy Bibi
Yaani bibi zetu walikua vizuri mno, waendelee kupumzika salama peponi.
AminYaani bibi zetu walikua vizuri mno, waendelee kupumzika salama peponi.