maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,120
- 4,850
Wana eeh leo tutiririke kwa hawa viumbe mambo ambayo wanatutendea hayatupendezi sie,shetani, wala God
Bila kujivunga wala nini tuwachane maana najua watasoma na wakisoma watabadilika tu kivyovyote
Binafsi mambo ambayo wanawake wananitendea afu siyaaminii wala nini ni haya
moja: kuombwa hela bila shida maalumu na bila mpangilio unaoeleweka
mbili:kutaka kubembelezwa kupita kiasi yaani unakuta demu anadeka, anaringaringa yaani haeleweki
tatu:kupeleka vipindi mbele kwa kusingizia kwenda mwezini hii nadhani inaeleweka
nne: kutuita vibamia yaani hilo jina silipendi kutoka moyoni naonaga ni aina mpya ya dharau
Uzi unaendelea na nyie tiririkeni kama na nyie wachuchu kuna mambo hamyaelewi upande wa kiumeni mtuchane ili tuwekane sana ila acheni dharau
Bila kujivunga wala nini tuwachane maana najua watasoma na wakisoma watabadilika tu kivyovyote
Binafsi mambo ambayo wanawake wananitendea afu siyaaminii wala nini ni haya
moja: kuombwa hela bila shida maalumu na bila mpangilio unaoeleweka
mbili:kutaka kubembelezwa kupita kiasi yaani unakuta demu anadeka, anaringaringa yaani haeleweki
tatu:kupeleka vipindi mbele kwa kusingizia kwenda mwezini hii nadhani inaeleweka
nne: kutuita vibamia yaani hilo jina silipendi kutoka moyoni naonaga ni aina mpya ya dharau
Uzi unaendelea na nyie tiririkeni kama na nyie wachuchu kuna mambo hamyaelewi upande wa kiumeni mtuchane ili tuwekane sana ila acheni dharau