Mtamba wa Panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 695
- 1,712
Habari,
Huu ni uzi wa vijana tunaopenda safari, namaanisha kuzamia nchi za Ulaya na America bila kusahau Japan na Australia.
Lengo Ni kusaidiana kama watanzania ili kuwezesha wengi zaidi kutimiza ndoto zao za kuishi "mambele mbele" a.k.a duniani..
Tuambie upo chimbo gani na taratibu za kuingia kiwanja hicho.
Pia tuambie kama "boxi" linapigika na matumaini ya kipato kwenye chimbo hilo.
Nina imani uzi huu utafaidisha wengi..
Ahsante..
Pia soma:
USA
Ukitaka kwenda kuishi Marekani inabidi ujipange
Huu ni uzi wa vijana tunaopenda safari, namaanisha kuzamia nchi za Ulaya na America bila kusahau Japan na Australia.
Lengo Ni kusaidiana kama watanzania ili kuwezesha wengi zaidi kutimiza ndoto zao za kuishi "mambele mbele" a.k.a duniani..
Tuambie upo chimbo gani na taratibu za kuingia kiwanja hicho.
Pia tuambie kama "boxi" linapigika na matumaini ya kipato kwenye chimbo hilo.
Nina imani uzi huu utafaidisha wengi..
Ahsante..
Pia soma:
USA
Ukitaka kwenda kuishi Marekani inabidi ujipange