Mkuu huu wimbo umenikumbusha mbali sna kati ya nyimbo alizokuwa anapenda babangu R.I.P. na mama anayeumwaNimetafuta sana hizi nyimbo za hii choir
Huu wimbo ulinipaga moyo sana kama sijakosea miaka hiyo 1998 nikiwa sekondari nimetoka kupokea ugali maharage yenye waduduFlashback Year 1997
Vumilia - Amana Vijana Centre (AVC)Band
This song is dedicated to all YOUTH, it was composed 1997 by Daniel Kyara (among AVC Band leaders) for AVC Band , the Band use to serve youth at AVC - Amana Vijana (youth) centre...The song became so popular in Tanzania and beyond - played in famous radios e.g Radio Tanzania, Radio one, Radio wapo etc also was put in as a backing music in some Bongo movies for tv!.
Source: Abel Orgenes
Wanazidi kumchochea jamaa wa korea ya kaskazini hawa uficheni huu wimbo wasije fanyia majaribio hukuJamani una hii kwaya inaitwa MABALOZI WA YESU, nilipata kusikiliza Albam yao (nafikiri ilikuwa ya Kwanza) inaitwa NUCLEAR miaka ya nyuma sana. Nina hakika wengine mpo mliopata kuisikia pia na yawezekana wengine hii ni kwaya ya kwenu. Leo nimepata baadhi ya nyimbo zake kwenye link hii (youtube):
Kwa wale wanaoifahamu naomba mnisaidie kupata nyimbo nyingine ambazo hazipo kwenye clip hii kwa mfano
Note: Video inaelekea ni ya hivi karibuni kuliko umri halisi wa nyimbo hizi. Upo uwezekano kuwa waliohusika katika vide, wengine walikuwa hawajazaliwa au walikuwa watoto wadogo sana wakati nyimbo hizi zinaimbwa na kurekodiwa kwa mara ya kwanza kwenye mkanda wa kaseti (Audio tape)
- Uzima wako (ambao umesikika ukiimbwa beti 2 za mwisho, audio baada ya wimbo wa mwisho)
- Wekeni hazina
- Neno la msalaba
- etc...
Natanguliza shukrani.
Wanazidi kumchochea jamaa wa korea ya kaskazini hawa uficheni huu wimbo wasije fanyia majaribio huku
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba add 0762481438karibu tena,kuna mdau kaanzisha kundi la whatsapp la nyimbo hizi,waweza weka namba yako wakuunge na ww!
Sorry ni 0762481738 addkaribu tena,kuna mdau kaanzisha kundi la whatsapp la nyimbo hizi,waweza weka namba yako wakuunge na ww!
Ni wa upendo kwaya kijitonyamaKuna wimbo nausaka ila siukumbuki jina na nimejitahidi kupitia huu uzi sijaupata naomba kama kuna mtu anaufahamu anitajie au aniwekee hapa nitashukuru sana..
Kwenye huo wimbo kuna maneno kama haya nadhani kwenye kiitikio hutamkwa ''Yesu aliteswaa msalabani watu wote tuwe huru,huru kweli kweli*2"....halafu ''haleluya aah haleluya aaah*4''
unaitwaje aiseeNi wa upendo kwaya kijitonyama
Haleluyaunaitwaje aisee
Hao ni AIC Kambarage, enzi zile kesho nitakuwekea hapaKuna wimbo nausaka ila siukumbuki jina na nimejitahidi kupitia huu uzi sijaupata naomba kama kuna mtu anaufahamu anitajie au aniwekee hapa nitashukuru sana..
Kwenye huo wimbo kuna maneno kama haya nadhani kwenye kiitikio hutamkwa ''Yesu aliteswaa msalabani watu wote tuwe huru,huru kweli kweli*2"....halafu ''haleluya aah haleluya aaah*4''
Haleluya
dah aisee nitashukuru sana bossHao ni AIC Kambarage, enzi zile kesho nitakuwekea hapa