bahati30
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,625
- 879
Hata wewe mwenyewe kichwa cha habari cha uzi wako kimekosewa, sasa sijui na wewe ulikuwa unaandika harakaharaka?Hii in maalum sana kwa zile sentesi ambazo ukijichanganya tu unaangukia kwingine .
Mfano.
Jaribu kutamka kwa speed
Ndege mwekundu kala mkungu wa ndizi...... ndege mwekundu kala mkungu wa ndizi.
Karibuni