Uzi maalum wa kuishauri serikali

Uzi maalum wa kuishauri serikali

Nchi hii sasa hv kila kiongozi anakuja na mambo yake..ni vyema kama Taifa tungekuwa na dira ya kutuongoza ili tujue tunaelekea wapi. Kukosekana kwa dira matokeo yake ndio kutunga sheria za hovyohovyo mwisho wa siku tunaua uchumi wa taifa tunaishia kutafuta mchawi ni nani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kwa upande mmoja wananchi tukabaki kuwa walalamikaji bila solution.... Nadhani ni kipindi sahihi kuchukua hatua na kufanya yatupasayo kufanya!!!! KUSHAURI kila mmoja kwa maono yake na katika nafasi yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maeneo muhimu yenye kuhitaji ushauri ama kufanyiwa kazi haraka
-Elimu
-Afya
-Usalama (watu na mali)
-Siasa
-Rushwa
Nk nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipenzi chetu Rais wa wanyonge alipenya katika uteuzi mgumu wa Ccm kwa sababu tu ya kuwa na UPINZANI wa kusiasa wenye nguvu, vinginevyo asingepita, USHAURI WANGU, watu huwaamini wanaokosoa kuliko unavyofikiri, awape nafasi ya kupumua ili watumie nguvu kujijenga kuliko ambavyo kwa sasa anawapa umaalufu wa bure, KUMBUKENI KIPINDI CHA KUBEBWA KWA MH MREMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkojo wa baghe unakosea, mkuu hakumaanisha kwamba hashauriki bali hapangiwi, kwa hiyo kushauri na kumpangia mtu ni vitu viwili tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sijakosea..yeye ndio anaamini upinzani ni uadui....kushauriwa ni kupangiwa...ana tatizo la kutojiamini so kila kitu anakiapproach kwa diffensive mechanism...

hilo ni tatizi la personality yake...inferiority complex and we can not change this unless he accept and admits to psychology experts atleast they can alter some lose fuses upstairs na mambo yakaenda sawa.

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
Mkuu sijakosea..yeye ndio anaamini upinzani ni uadui....kushauriwa ni kupangiwa...ana tatizo la kutojiamini so kila kitu anakiapproach kwa diffensive mechanism...

hilo ni tatizi la personality yake...inferiority complex and we can not change this unless he accept and admits to psychology experts atleast they can alter some lose fuses upstairs na mambo yakaenda sawa.

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
NI vizuri pia ushauri wako ukatao utoa uwe na hati miliki nayo

Ova
 
Kuna watu humu jf wanatoa ushauri mwingi mfano kuhusu ile issue ya road license kuondolewa,kumbe Kuna majaa wa serikali wakapitia humu jf na wazo la mleta uzi likafanyiwa kazi .....Sijui kama mleta uzi aliambulia Chochote hata serikali yenyewe hawakusema kama ushauri ule walipoupatia

Ova
 
Mfua vyuma leo umeamkia pazuri. Kuna na hili pia masoko yote yauze bidhaa kwa kutumia mizani, nyanya, vitunguu hata mboga kama kwa wenzetu hapo Kenya. Bila kusahau wakulima nao wauze kwa uzito wa bidhaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu humu jf wanatoa ushauri mwingi mfano kuhusu ile issue ya road license kuondolewa,kumbe Kuna majaa wa serikali wakapitia humu jf na wazo la mleta uzi likafanyiwa kazi .....Sijui kama mleta uzi aliambulia Chochote hata serikali yenyewe hawakusema kama ushauri ule walipoupatia

Ova
Duu kumbe ilianzia huku safi kabisa ametimiza jukumu lake MB zake hazikwenda bure..... Historia itamkumbuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom