Uzi maalum wa kuishauri serikali

Uzi maalum wa kuishauri serikali

Naomba kitengo cha dharura hospital ya Tumbi kiboreshwe hali ni mbaya sana hapa
9e15760fb47e1c88ff5738b6052d5382.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is wheel chair at TUMBI HOSPITAL!
IMG_20170828_124502.jpg
hii ni hospital kubwa sana mkoa wa pwani..... Sehemu kubwa za dawa za dharura hazipatikani hapo mpaka nje ya hospital kwenye maduka binafsi
Sote tunaelewa umuhimu mkubwa wa hii hospital... Pls serikali hebu fanyeni kitu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmefka mahakama ya nwanzo Hapa mngeta, wilaya ya kilombero duuuu hakuna hakimu hakuna kalani kesi anaamua muhudumu,tu hata la saba hajafika nilivofika tu,akatoka nduki anadhani nimekuja kumkamata nukamuita akakimbilia kusko julikana ebu mkuu wa wilaya fanya kitu hapa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wazo nzuri mno,na ninategemea viongozi wetu wanatakuwa wanayasoma haya na kujaribu kuyafanyia kazi,inatia kiwewe wakati unapowaona wanasiasa wetu wanapokuwa waongeaji wazuri mara wanapoacha madaraka.kauli za our Big Ben na JK wakati wa kongamano la Mbeki huko SA huwezi amini kuwa hawa ndio walikuwa watawala na hawakufanya hayo wanayoyaongea kwa hisia kubwa;mimi ningependekeza yafuatayo;serikali yetu ni kubwa mno inabidi ipunguzwe tuwe na mikoa 12 tu huku madaraka makubwa yakiwa mikoani ili kurahisisha service deliveries,wizara nazo zipunguzwe we just need less than 15 ili kusukuma maendeleo;serikali ijikite zaidi katika kuboresha mazingira bora ya to create opportunities sio kuwa mwajiri wa wananchi,ni vema wananchi wakaandaliawa mazingira ya kujiajiri;punguza jeshi letu la ulinzi na boresha zaidi jeshi letu la polisi ili liwe la kisasa na kitechnolojia,wanajeshi watakaopunguzwa waingizwe polisi hasa kwenye vitengo maalum kama counter terrorism,hijacking etc etc,vile vile tujenge na kuwa na maabara bora .(foresinc dept.)
 
Serikali iunde timu ya wataalum waona fursa.. kazi yao itakuwa ni kung'amua fursa hapa namaanisha ni kama hesabu 1+1=2 inamaana wawe wametafiti yakwamba ukifanya hivi na hivi unapata hivi!(uhakika).
ishauri serikali iwekeze wapi ama matajiri ama serikali kuwakopesha maskini(hapa lzm kuwe na usimamizi maalum ili kutohatarisha mradi husika/watu wenye ujuzi ndo wawe viongozi ili wasukume gurudumu)
inatakiwa iwe timu hasa yenye kuona fursa vyema nakwa uhakika hata wakienda kumshawishi mwekezaji yeye mwenyewe anakuwa na uhakika kwamba jambo hilo linaenda kutimia kama lilivyopangwa na kuona,nauhakika itakuwa ni timu yenye kutunukiwa tuzo kama itafanya kazi yake kiunyoofu,sintakuwa na shaka hata wakilipwa kodi zetu maana itakuwa serikali inayoinua watu wake tuachane na hizi longolongo za siasa mnatudumaza akili bure kila siku kumzungumzia lisu.
 
Ni wazo nzuri mno,na ninategemea viongozi wetu wanatakuwa wanayasoma haya na kujaribu kuyafanyia kazi,inatia kiwewe wakati unapowaona wanasiasa wetu wanapokuwa waongeaji wazuri mara wanapoacha madaraka.kauli za our Big Ben na JK wakati wa kongamano la Mbeki huko SA huwezi amini kuwa hawa ndio walikuwa watawala na hawakufanya hayo wanayoyaongea kwa hisia kubwa;mimi ningependekeza yafuatayo;serikali yetu ni kubwa mno inabidi ipunguzwe tuwe na mikoa 12 tu huku madaraka makubwa yakiwa mikoani ili kurahisisha service deliveries,wizara nazo zipunguzwe we just need less than 15 ili kusukuma maendeleo;serikali ijikite zaidi katika kuboresha mazingira bora ya to create opportunities sio kuwa mwajiri wa wananchi,ni vema wananchi wakaandaliawa mazingira ya kujiajiri;punguza jeshi letu la ulinzi na boresha zaidi jeshi letu la polisi ili liwe la kisasa na kitechnolojia,wanajeshi watakaopunguzwa waingizwe polisi hasa kwenye vitengo maalum kama counter terrorism,hijacking etc etc,vile vile tujenge na kuwa na maabara bora .(foresinc dept.)

Serikali iunde timu ya wataalum waona fursa.. kazi yao itakuwa ni kung'amua fursa hapa namaanisha ni kama hesabu 1+1=2 inamaana wawe wametafiti yakwamba ukifanya hivi na hivi unapata hivi!(uhakika).
ishauri serikali iwekeze wapi ama matajiri ama serikali kuwakopesha maskini(hapa lzm kuwe na usimamizi maalum ili kutohatarisha mradi husika/watu wenye ujuzi ndo wawe viongozi ili wasukume gurudumu)
inatakiwa iwe timu hasa yenye kuona fursa vyema nakwa uhakika hata wakienda kumshawishi mwekezaji yeye mwenyewe anakuwa na uhakika kwamba jambo hilo linaenda kutimia kama lilivyopangwa na kuona,nauhakika itakuwa ni timu yenye kutunukiwa tuzo kama itafanya kazi yake kiunyoofu,sintakuwa na shaka hata wakilipwa kodi zetu maana itakuwa serikali inayoinua watu wake tuachane na hizi longolongo za siasa mnatudumaza akili bure kila siku kumzungumzia lisu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom