Uzi maalum wa kuishauri serikali

Uzi maalum wa kuishauri serikali

Siamini kabisa kama ushauri kwa serikali ni huu tu.. Kumbukeni msemo huu wa Plato
9e172cce782fabb3e8d1797c877828dc--vote-quotes-government-quotes.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali litazamane hili kwa jicho la tafakuri, hakuna haja wala sababu ya kuwazuia wale wote wanaotaka kumfanyia Lissu maombi, wala wale wanaotaka kwenda kuchangia damu kwenye hospital zetu, mbona vitu vingine ni vya kawaida kabisa?
 
Serikali litazamane hili kwa jicho la tafakuri, hakuna haja wala sababu ya kuwazuia wale wote wanaotaka kumfanyia Lissu maombi, wala wale wanaotaka kwenda kuchangia damu kwenye hospital zetu, mbona vitu vingine ni vya kawaida kabisa?
Kumwaga Damu ya mtu asiye na Hatia Malipo ni hapahapa Duniani ''It is a matter of time''
 
Ni kweli, maadam ni serikali sikivu na ya wanyonge, watu wote kwa mimi, ushauri wangu ningependa vitu vyote vinavyouzwa viwekewe bei elekezi kama ni kiberiti kiandikwe code zake na bei yake kama vocha,
Ili hata hao wanaopandisha vitu tupate kuwajoji..... Imekuwaje
Na kwa njia hii itakuwa rahisi kujua kitu harisi na bandia.
Mf. Mzuri bidhaa za nje huwekwa code na bei yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiuchumi tunasema bei haipangwi na sirikali bali hupangwa na soko, kupanda kwa bei inatokana na soko.Serikali haifanyi biashara itawezaje kupanga bei, yaani mimi niuze magari alafu bei utie wewe nunua yako.
 
Naombeni SERIKALI ijitenge na kauli ya makonda na kukemea kwa uwazi ili tujiepushe na aibu ya kutoaminika kama Taifa, isipokanushwa itaonekana ni kweli Magufuli alilipia huduma ili wananchi watibiwe bure
IMG_20171120_220014_818.jpg
 
Mawaziri wa sasa naona bado hawajatambua dhima ya nafasi walizonazo, haya ni majibizano ya waziri na mtu asiyekuwa waziri
IMG-20171120-WA0094.jpg
 
Huu uzi ni mzuri sana hasa kwa wenye mawazo sawiya na mleta uzi iwapo jazba,mizaha,vyama n.k vikiwekwa pembeni lakini kwa huko tuendako naona kama makusudio ya uzi huu unaaanza kupotea taratibu waTanzania tunapenda sana kulalamika kwanini tusitumie fursa kama hizi kuwasilisha mawazo yetu na ushauri kwa serikali kwa nia ya kujenga zaidi na matunda yake sote tutayaona hapa
Je serikali ina shaurika?
 
Back
Top Bottom