Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,841
- 38,736
Kwa hiyo bei tunajipangia Sisi wenyewe na pia sehemu ilipo tutaota kuwa inapatikana wapi?Inauzwa mkuu soma post za kuanzia juu ya hio feni, karibu sana kiongozi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo bei tunajipangia Sisi wenyewe na pia sehemu ilipo tutaota kuwa inapatikana wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo bei tunajipangia Sisi wenyewe na pia sehemu ilipo tutaota kuwa inapatikana wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama bado haujapata vifaa vya saluni waweza nicheki pia 0718 421925, ni vipya kabisa nauza tu kwa hasara, vinapatikana Mbagala Zakhem
Mkuu mm naomba username yake ya insta mwaya nikamchunguliege ukomkuu ushauli tu uwatendei watu.haki wewe ni mfanya biashara na sio mbabaishaji umefungua uzi mzuri tu ila uweki mawasiliano yako uwoni kama unakosea mana adi ujeona pm sms ya mteja uwoni utakua ushamnyima.nafasi mnunuaji na mie nakujua ww mana instagram umeweka mawasiliano kule na uku unawaambia waje pm inakua aisaidii zote ni platform hizi za kufanya biashara wafanyie kama unavyofanya katika insta page yako japo bei za uku unaweka zimechangamka kuliko kule ila ndo biashara ulia hii ni wazo tu nawasilisha.
Hizi hapa 80, 000/= kila moja zote ni mpya kabisa. View attachment 997004
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah ni Wahl mkuu........ Moja Wahl pro nyingine ni super taper........ Karibu tufanye biashara mkuu......... 0718 421925....... Napatikana Mbagala Zakhem.
Yah ni Wahl mkuu........ Moja Wahl pro nyingine ni super taper........ Karibu tufanye biashara mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji hii kma bado ipo nipm pls tufanye biasharaSamsung flat TV (smart)
Inch 24
Bado mpya (miezi 4 used)
Offer 250k
Call. 0756 832833View attachment 979311
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nahitaji huu mzigo vip naupataje kaka nicheck kwa no yangu ni 0621840335
Kama hii mali bado ipo nichek tufanye biashara no yangu ni 0717461661
Pole sana mkuu na ni ukweli unachosemaBiashara kwa jf ngumu Sana wengi Ni wajuaji Wa kila kitu Ila hakuna ununuaji wanachofanya Ni kukosoa na kupinga
Usumbufu Wa kutosha kuna mtu humu alinipa kazi ya kumkusanyia vitu akanielekeza nimpelekee kibaha gharama za usafiri juu yake.. Kufika kibaha hakupokea simu mpaka leo
Mwingine akasema nimpelekee ubungo naona hajafika ubungo mpaka leo..
Wanaofanya biashara wachache, wengi wao wapenda sifa kwenye nyuzi za watu.. Biashara kwa huku nimesitisha kupost tena...
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar mkuuu..hzi sofa bado zipo naziitaji..ntumie namba yakoSofa set L
250,000View attachment 871747