Uzi maalum kwa 'vitu used'

Bei ya kufungia mwaka
190,000
Liko Mwananyamala magengeni
IMG-20181228-WA0000.jpeg
IMG-20181228-WA0001.jpeg
IMG-20181228-WA0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samsung S7 edge

Used 9 days,
Charge masaa 10 kwenye 4G,
Laini moja,
HAINA accessories zake(Niliichukua hivi ili kupunguza cost)
Ukiiona na shida au hata kidoti unaacha,
Ni Original na salamaa utapata mda wa kuichunguza pamoja na kuandikishana/record ukitaka. Picha hazipo clear sbb ya simu iliyotumika kupiga picha, inawaka zaid ya uionavyo, Km una bidhaa ya maana ya exchange hasa ya biashara waweza taja ni ipi, kama itanifaa kweny mishe zangu tunavunja.
530K, fixed
Screenshot_2019-01-04-09-51-26.jpeg
Screenshot_2019-01-04-09-52-12.jpeg
IMG_20190105_161012.jpeg
IMG_20190105_161000.jpeg
IMG_20190105_160818.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nauza vifaa vya saluni
1. Mashine wahl mpya zipo 3 kila moja ni shillingi 75, 000/
2. Stelilizer mpya 170, 000/=
3. Feni 90, 000/=
Namba yangu ya simu ni 0718 421925 na pia unaweza nicheki whassap, napatikana Mbagala Zakhem...... Kama upo Dar usafiri ni juu yangu.
IMG_20190116_110258_1.jpeg
IMG_20190116_110246_1.jpeg
IMG_20190116_110109_1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom