Fabian the Jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 756
- 738
Mkuu unajua kwamba mpya dukani ni 79000?65000
Pamoja na dishi lakeView attachment 974992
Ipo?Samsung flat TV (smart)
Inch 24
Bado mpya (miezi 4 used)
Offer 250k
Call. 0756 832833View attachment 979311
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi nilipatana nikapanga muda nikaenda mpaka eneo la tukio sikuona mtu.Mara nyingine mkikybaliana mtu huyoo anapitwa wengi ni wezi matapeli na wauza sura ***** zao.Biashara kwa jf ngumu Sana wengi Ni wajuaji Wa kila kitu Ila hakuna ununuaji wanachofanya Ni kukosoa na kupinga
Usumbufu Wa kutosha kuna mtu humu alinipa kazi ya kumkusanyia vitu akanielekeza nimpelekee kibaha gharama za usafiri juu yake.. Kufika kibaha hakupokea simu mpaka leo
Mwingine akasema nimpelekee ubungo naona hajafika ubungo mpaka leo..
Wanaofanya biashara wachache, wengi wao wapenda sifa kwenye nyuzi za watu.. Biashara kwa huku nimesitisha kupost tena...
Sent using Jamii Forums mobile app
65000
Pamoja na dishi lakeView attachment 974992
namna hii lazima uone biashara ngumu, dstv mpya full kit 79,000/= halafu used 65,000/= umeona wapi ndugu?Biashara kwa jf ngumu Sana wengi Ni wajuaji Wa kila kitu Ila hakuna ununuaji wanachofanya Ni kukosoa na kupinga
Usumbufu Wa kutosha kuna mtu humu alinipa kazi ya kumkusanyia vitu akanielekeza nimpelekee kibaha gharama za usafiri juu yake.. Kufika kibaha hakupokea simu mpaka leo
Mwingine akasema nimpelekee ubungo naona hajafika ubungo mpaka leo..
Wanaofanya biashara wachache, wengi wao wapenda sifa kwenye nyuzi za watu.. Biashara kwa huku nimesitisha kupost tena...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia.namna hii lazima uone biashara ngumu, dstv mpya full kit 79,000/= halafu used 65,000/= umeona wapi ndugu?
jaribu kuweka bei linganifu utafanya biashara vizuri tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiweka hivyo inapungua 10 au 15 ..sasa ukiweka chini ya hapo bado watataka punguzo.. Hii Ni biashara ya maelewano sio Kama superman kila kitu kina bei yake.. Lazima uanzie juu ili ushushe kwenye bei inayohitajikanamna hii lazima uone biashara ngumu, dstv mpya full kit 79,000/= halafu used 65,000/= umeona wapi ndugu?
jaribu kuweka bei linganifu utafanya biashara vizuri tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua bei ya bidhaa dukani ikoje kabla ya kupost.... Hakuna mtu atakupa 65elfu lazima atataka punguzo LA elfu 10 au 15...
Mimi ni kingamuzi cha DSTV na dishi lake nakitupa kwa 50K niko Ilala DSM weekend njoo uchukue ukaenjoy na familia