Uzi maalum kwa 'vitu used'

Meza ya tv
90,000 tsh
20190116_143217.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara kwa jf ngumu Sana wengi Ni wajuaji Wa kila kitu Ila hakuna ununuaji wanachofanya Ni kukosoa na kupinga

Usumbufu Wa kutosha kuna mtu humu alinipa kazi ya kumkusanyia vitu akanielekeza nimpelekee kibaha gharama za usafiri juu yake.. Kufika kibaha hakupokea simu mpaka leo

Mwingine akasema nimpelekee ubungo naona hajafika ubungo mpaka leo..

Wanaofanya biashara wachache, wengi wao wapenda sifa kwenye nyuzi za watu.. Biashara kwa huku nimesitisha kupost tena...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi nilipatana nikapanga muda nikaenda mpaka eneo la tukio sikuona mtu.Mara nyingine mkikybaliana mtu huyoo anapitwa wengi ni wezi matapeli na wauza sura ***** zao.
 
65000
Pamoja na dishi lakeView attachment 974992
Biashara kwa jf ngumu Sana wengi Ni wajuaji Wa kila kitu Ila hakuna ununuaji wanachofanya Ni kukosoa na kupinga

Usumbufu Wa kutosha kuna mtu humu alinipa kazi ya kumkusanyia vitu akanielekeza nimpelekee kibaha gharama za usafiri juu yake.. Kufika kibaha hakupokea simu mpaka leo

Mwingine akasema nimpelekee ubungo naona hajafika ubungo mpaka leo..

Wanaofanya biashara wachache, wengi wao wapenda sifa kwenye nyuzi za watu.. Biashara kwa huku nimesitisha kupost tena...

Sent using Jamii Forums mobile app
namna hii lazima uone biashara ngumu, dstv mpya full kit 79,000/= halafu used 65,000/= umeona wapi ndugu?
jaribu kuweka bei linganifu utafanya biashara vizuri tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
namna hii lazima uone biashara ngumu, dstv mpya full kit 79,000/= halafu used 65,000/= umeona wapi ndugu?
jaribu kuweka bei linganifu utafanya biashara vizuri tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiweka hivyo inapungua 10 au 15 ..sasa ukiweka chini ya hapo bado watataka punguzo.. Hii Ni biashara ya maelewano sio Kama superman kila kitu kina bei yake.. Lazima uanzie juu ili ushushe kwenye bei inayohitajika

Wakati mwingine unauza kitu kutokana na muuzaji anavyotaka..tatizo sio biashara Ni members Wa huku wengi hawana maisha...

Social media zingine kazi zinakwenda vizuri... Huku ndio inakuwa biashara kichaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ps2 IPO in good condition

Pad 1
Data memory
Nyaya zotee

Ipo Mwanza

Price- 150,000/- Maongezi yapo

0746510577
IMG_20190123_121402.jpeg
IMG_20190123_121328.jpeg
IMG_20190123_121310.jpeg
IMG_20190123_121321.jpeg
 
INAUZWA
ASUS zenfone 3 Dual sim
Ram 4gb | Storage 64gb
Display 5.5" | Network 4g
Camera 16Mp with LED flash
Selfie 8Mp | Fingerprint sensor
Grove mode | full glass
Os Oreo 8

Mpya kasoro box

Price 300000/-
IMG_20190122_135322487.jpeg
IMG_20190122_135159515.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom