Uzi maalum kwa 'vitu used'

mkuu ushauli tu uwatendei watu.haki wewe ni mfanya biashara na sio mbabaishaji umefungua uzi mzuri tu ila uweki mawasiliano yako uwoni kama unakosea mana adi ujeona pm sms ya mteja uwoni utakua ushamnyima.nafasi mnunuaji na mie nakujua ww mana instagram umeweka mawasiliano kule na uku unawaambia waje pm inakua aisaidii zote ni platform hizi za kufanya biashara wafanyie kama unavyofanya katika insta page yako japo bei za uku unaweka zimechangamka kuliko kule ila ndo biashara ulia hii ni wazo tu nawasilisha.
Mkuu mm naomba username yake ya insta mwaya nikamchunguliege uko
 
Naihitaji mashine kali ya kunyolea upara

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi hapa 80, 000/= kila moja zote ni mpya kabisa.
IMG_20190116_111446_1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tecno W5 Finger Print Iko very clean Na Charger yake.
#BEI 170,000 TSH/=
LOCATION DAR.
Kama Unahitaji Simu Pls Nicheck PM kwa Mawasiliano.
IMG_20190101_123613.jpg
IMG_20190110_121418.jpg
IMG_20190110_122029.jpg
IMG_20190113_120326.jpg

IMG_20190110_130335.jpg
 
Biashara kwa jf ngumu Sana wengi Ni wajuaji Wa kila kitu Ila hakuna ununuaji wanachofanya Ni kukosoa na kupinga

Usumbufu Wa kutosha kuna mtu humu alinipa kazi ya kumkusanyia vitu akanielekeza nimpelekee kibaha gharama za usafiri juu yake.. Kufika kibaha hakupokea simu mpaka leo

Mwingine akasema nimpelekee ubungo naona hajafika ubungo mpaka leo..

Wanaofanya biashara wachache, wengi wao wapenda sifa kwenye nyuzi za watu.. Biashara kwa huku nimesitisha kupost tena...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara kwa jf ngumu Sana wengi Ni wajuaji Wa kila kitu Ila hakuna ununuaji wanachofanya Ni kukosoa na kupinga

Usumbufu Wa kutosha kuna mtu humu alinipa kazi ya kumkusanyia vitu akanielekeza nimpelekee kibaha gharama za usafiri juu yake.. Kufika kibaha hakupokea simu mpaka leo

Mwingine akasema nimpelekee ubungo naona hajafika ubungo mpaka leo..

Wanaofanya biashara wachache, wengi wao wapenda sifa kwenye nyuzi za watu.. Biashara kwa huku nimesitisha kupost tena...

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu na ni ukweli unachosema
Je insta unatumia jna gani ili wanunuz Wa kweli wakutafte
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom