Nina shida ya laptop mwenye nayo anaicheki aniuzie
Mwenye shida ya hela aje PM kama una laptop nzuri au simu kali
Simu isiwe Techno plz
Bei na ulipo tafadhaliNinayo Hp
Processir Core i5 , 2.5 GHz
HDD 320
ipo bombaa kabisaa ,,
450k/=
Morogro town450k/=
Yaani wewe una nyumba ya udongo lakini umeweka plasta.Me nina tecno h5...bei sio sawa na bure.
Hahahahhahahahahhaa. MamamaeeeeeeNinauza bendera ya CCM na kamba yake , bei poa sana, just halla at me..... Au nitumie waraka KWENYE bujibuji@jamiiforums.com
Anayeuza flat screen smart aina yeyote 43 au 49 inches, tuwasiliane inboboTangazo kwa Wanachuo waliokula Ada. Tunanunua simu za wanazouza ili wajazie katika Ada na nauli zao za kurudi chuo.
Mwanachuo weka tangazo lako usione aibu.... Kitaa pagumu na ndiyo may be ushakula Ada.
Tv ya kisogoo mkuu nnayoo ,,vp tuongee busnessAnayeuza flat screen smart aina yeyote 43 au 49 inches, tuwasiliane inbobo
Nataka flat mkuuTv ya kisogoo mkuu nnayoo ,,vp tuongee busness
Hainaa nomaa ,,mkuu ..Nataka flat mkuu
Ngapi unaipiga mkuu na uko wapiNina samsung j1
Yaani wewe una nyumba ya udongo lakini umeweka plasta.
Techno ni dalili ya kupenda simu kali ila uwezo huna