Kwani uwezi ongea jambo bila kuwasema mashangazi...😬😬😬😬Watoto wa buku mbili wamechakaa sana kuliko baadhi ya mashangazi
Dogo niko na 38 yrs piga hesabu hapo nimezaliwa elfu mbili na ngapi.Vishu Mtata kila siku nikisema umezaliwa 2003 unakasirika et unasema.ww wa 2000 haya sasa njoo.huku umeitwa
2002 daaah kumbe upo vzr mkuu...Dogo niko na 38 yrs piga hesabu hapo nimezaliwa elfu mbili na ngapi.
Addicted kama umekula bangi hiviMashangazi wa jf naombeni ushauri nawezaje kuacha kupenda watu wa umri mkubwa... Hii ni too much sasa pepo.limeamia kupendwa na wajawazito wakuu.. msaada hii ni nini..?
Ndio mkuu an bora univunje mguu ila.sio.kunitenganisha na hawa watu aiseeeAddicted kama umekula bangi hivi
2002 nipo kidato cha 4 mkuu.2002 daaah kumbe upo vzr mkuu...
Stelling wa vingunguti
Ajira kwa sasa zimekuwa ngumu Sana kupatikana Ila umejaribu kufikiria biashara labda ??Ajira hatuna zaidi ya kuimba singeli
Mtaani biashara za mambo ya kula mkuu .Mkuu hivi kwa sasa ni biashara gani zinafanya vizuri mtaani
Kama nakuona unavyo zijampisha 🤣🤣🤣🤣Ndio mkuu an bora univunje mguu ila.sio.kunitenganisha na hawa watu aiseee
Duuh kweli basi umeniacha miaka 2 mana mi kipindi hiko nilikua nipo form 2...2002 nipo kidato cha 4 mkuu.