Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,121
- 4,017
Hapo sasa nimeelewa mkuuNdio yule xulu amefuga ndevu alipolazwa tulimuona.
Hapo sasa nimeelewa mkuuNdio yule xulu amefuga ndevu alipolazwa tulimuona.
Unamaanisha smangele au squemeza mkuu?Naona MK kuficha misala yake ameamua kumtwisha smangele zigo la mavi na kumpiga risasi ya kichwa!
Sorry,I mean;Unamaanisha smangele au squemeza mkuu?
Inabidi Mxo na Mastermind wajiongeze, vinginevyo itakula kwao. Inakuweje Mk awapeleke kwa mtuhumiwa lakini kabla hata hawajamchukua maelezo Mk anaua mtuhumiwa mbele yaoNaona MK kuficha misala yake ameamua kumtwisha smangele zigo la mavi na kumpiga risasi ya kichwa!
Tatizo mxo mbishi lkn zweli tangu mwanzo alisema hamuamini mk,but mxo.kama kawaida yake ubishi na kujiona yeye ndio final sayInabidi Mxo na Mastermind wajiongeze, vinginevyo itakula kwao. Inakuweje Mk awapeleke kwa mtuhumiwa lakini kabla hata hawajamchukua maelezo Mk anaua mtuhumiwa mbele yao
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
MnooooXuly karudi home nyiee.
Mxo hili toto jinga aseeh
Ayanda ana akili ya baba yake xulu kabisa yaani. Jamaa mtu wa mipango na hesabu kali
Natamani kesho ifike nione inakuajeLeo xulu amefika nyumbni kwake mkewe anatak kulala tu ile kiwasha taa anamuona xulu amekaa kwa kiti
Ayanda nae ndoa ngumu kampa nombuso maneno ( in form of letter)ya kusema in front of the whole congregation
Mk amekutwa na mastermind nyumbni akiwa na smangele,
Wala siyo lijinga, ni lipumbavu kabisa.Mastermind kesha lítahadharisha kuhusu Mk lakini bado linakuwa libishi tu. Labda kwa vile mwenye mali yake karudi ndo itakuwa ponapona ya lenyewe, vinginevyo lingeula wa chuya.Xuly karudi home nyiee.
Mxo hili toto jinga aseeh
Ayanda ana akili ya baba yake xulu kabisa yaani. Jamaa mtu wa mipango na hesabu kali
Kabisa yaani tabia huwa hazijifichi kabisa mxo ana akili fupi Kama ya kuku.Mnoooo
Hlf mxo kamrithi baba halisi pastor
Na pia linatoa maboko kabisa alipoteza pesa za baba yake kwa yule tapeli Richard lakini bado halijifunzi kuamini mtu Mara mbili mbili tena Kama mjomba wake mk.Wala siyo lijinga, ni lipumbavu kabisa.Mastermind kesha lítahadharisha kuhusu Mk lakini bado linakuwa libishi tu. Labda kwa vile mwenye mali yake karudi ndo itakuwa ponapona ya lenyewe, vinginevyo lingeula wa chuya.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Unakwenda chumbani na kukutana na marehemu, jamani ingekuwa mimi ningezimia kabisa!Leo xulu amefika nyumbni kwake mkewe anatak kulala tu ile kiwasha taa anamuona xulu amekaa kwa kiti
Ayanda nae ndoa ngumu kampa nombuso maneno ( in form of letter)ya kusema in front of the whole congregation
Mk amekutwa na mastermind nyumbni akiwa na smangele,
Mangcopo alishtuka lakini baadae alikwenda mpaka mahali Xulu alipojichimbia akiwa na yule askari,Leo nimeikosa tuambieni jamani tuanzie kwa mangcobo alipomuona xulu alifanyeje? Halafu tuendelee kwa nombu alikiri kanisani
Haka kanombuso kasnitch nilijua tu lazima katamgeuzia kibao ayanda maskiniMangcopo alishtuka lakini baadae alikwenda mpaka mahali Xulu alipojichimbia akiwa na yule askari.Xulu alijitetea kwamba ana maadui wengi wanaotafuta kumuua ndio maana aliamua kusingizia kifo.Issue ya Sbu kuingia kwenye biashara ya familia ilijadiliwa Xulu akilaumu Sbu anafanya nini pale?Xulu akaingia kwenye familia ya Sbu na kumtishia ataua mama na mtoto kama Sbu asipotekeleza yake Xulu anayotaka.
Nombuso alikiri kanisani huku akimlaumu Ayanda.Kibao kilimgeukia Ayanda .Kanisa zima akiwemo mama yake na Smangele wakimlaumu sana Ayanda kwa kitendo hicho.
Ayanda akakambia wakapime DNA maana hawezi kutumikia mimba ambayo si yake, na jicho kakalitoa hilo.Haka kanombuso kasnitch nilijua tu lazima katamgeuzia kibao ayanda maskini
Sasa ayanda ndio alimtuma aende kulala kwa mxo dah..
Leo naiwahi tuone mbivu na mbichi kubabekiAyanda akakambia wakapime DNA maana hawezi kutumikia mimba ambayo si yake, na jicho kakalitoa hilo.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app