Jagiya
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,126
- 1,577
weweee.... yule mzee ukishaomba ela lazma ajue unapeleka wapi.. siunajua yule ni sungusungu wa kwamashu😅lakini si umwambie baba chanja wako atuwezeshe si unajua mie dume suruali
weweee.... yule mzee ukishaomba ela lazma ajue unapeleka wapi.. siunajua yule ni sungusungu wa kwamashu😅lakini si umwambie baba chanja wako atuwezeshe si unajua mie dume suruali
Dah afu kweli nitakuwa nimejitengenezea kaburi langu mwenyewe atanchunguza mpaka ukoo wangu kama tumewahi kuiba hata kijiko nimekwisha... Basi kwa sis D tuhame 😀weweee.... yule mzee ukishaomba ela lazma ajue unapeleka wapi.. siunajua yule ni sungusungu wa kwamashu😅
kabisaaa taja eneo sasa....Dah afu kweli nitakuwa nimejitengenezea kaburi langu mwenyewe atanchunguza mpaka ukoo wangu kama tumewahi kuiba hata kijiko nimekwisha... Basi kwa sis D tuhame 😀
Imeeleweka sanaa akijasalia kitu heko kwako kiongoziAfter three months pass dada yake zweli karudi ila zweli hajarudi,
Dlohmo kapandishwa cheo na kuwa acknowledged kwa kazi alofanya mpaka kumkamata zulu,
Mxo kaachiwa huru na kampigia mama mchungaji na sio mke wa xulu so mama yake anawaambia ayanda na Mdogo wake wakamfate mxo wote wanakataa wanasema wapo busy,
Mama mchungaji anamfata mxo prison kumchukua anakutana na mke wa xulu, mke wa xulu anashangaa mxo ametoka hajamwambia, mxo anamsalimia na kuondoka na ma mchungaji,
Mke wa zulu anamwambia nosi haiwezekani amlee mxo alafu anamfanyia hivo, na kampuni yao inaonekana imefilisika haiwezi kuwalipa wafanyakazi na inataka ifilisiwe magari yote so they need back mxo bcoz they can’t to operate by themselves,
Mxo now is new member at mchungaji’s family, he’s two brothers (ayanda na Mdogo wake wanaonekana hawamtaki) but mama ndo kashaamua.
Xulu katoroka gerezani. Imeishia hapo
Mtanisamehe sijakariri majina yao
anaugua kbsnakuonea huruma sanaa
Umeweza sanaAfter three months pass dada yake zweli karudi ila zweli hajarudi,
Dlohmo kapandishwa cheo na kuwa acknowledged kwa kazi alofanya mpaka kumkamata zulu,
Mxo kaachiwa huru na kampigia mama mchungaji na sio mke wa xulu so mama yake anawaambia ayanda na Mdogo wake wakamfate mxo wote wanakataa wanasema wapo busy,
Mama mchungaji anamfata mxo prison kumchukua anakutana na mke wa xulu, mke wa xulu anashangaa mxo ametoka hajamwambia, mxo anamsalimia na kuondoka na ma mchungaji,
Mke wa zulu anamwambia nosi haiwezekani amlee mxo alafu anamfanyia hivo, na kampuni yao inaonekana imefilisika haiwezi kuwalipa wafanyakazi na inataka ifilisiwe magari yote so they need back mxo bcoz they can’t to operate by themselves,
Mxo now is new member at mchungaji’s family, he’s two brothers (ayanda na Mdogo wake wanaonekana hawamtaki) but mama ndo kashaamua.
Xulu katoroka gerezani. Imeishia hapo
Mtanisamehe sijakariri majina yao
huyu bata Vera ginger sasa ole wake anikumbushie habari za nosi maana nimechoka kutaniwa..
Any way nitakusbiri pale kwa sis D
Safi sana kwa kazi nzuri hiyo ya leoAfter three months pass dada yake zweli karudi ila zweli hajarudi,
Dlohmo kapandishwa cheo na kuwa acknowledged kwa kazi alofanya mpaka kumkamata zulu,
Mxo kaachiwa huru na kampigia mama mchungaji na sio mke wa xulu so mama yake anawaambia ayanda na Mdogo wake wakamfate mxo wote wanakataa wanasema wapo busy,
Mama mchungaji anamfata mxo prison kumchukua anakutana na mke wa xulu, mke wa xulu anashangaa mxo ametoka hajamwambia, mxo anamsalimia na kuondoka na ma mchungaji,
Mke wa zulu anamwambia nosi haiwezekani amlee mxo alafu anamfanyia hivo, na kampuni yao inaonekana imefilisika haiwezi kuwalipa wafanyakazi na inataka ifilisiwe magari yote so they need back mxo bcoz they can’t to operate by themselves,
Mxo now is new member at mchungaji’s family, he’s two brothers (ayanda na Mdogo wake wanaonekana hawamtaki) but mama ndo kashaamua.
Xulu katoroka gerezani. Imeishia hapo
Mtanisamehe sijakariri majina yao
naskia mumeo kapewa promotion cheo 😀😀kabisaaa taja eneo sasa....
😂😂kapigwa na kitu kizito kichwanianaugua kbs
Haahaa mzee anazidi kunoga💵😍😍naskia mumeo kapewa promotion cheo 😀😀
Basi ulivyo kigeugeu utaghairi..
😀😀 unajua kuchagua 😁 nilitaka nimrecommend kwako 😅😅yule ni chombo haswa achana na ayanda kashachuja btw nadhani anaitwa mondi.kuna ka polisi kapya kamekuja kahandsom labda hicho alafu nahisi itakua ndo kafanya mpango wa kutoroka kwa xulu ila sijuiii
umeshakuwa kigeugeu sasa yuda kabisa 😀😀Haahaa mzee anazidi kunoga💵😍😍
achana na mambo ya watu nisifie na Mimi "hendisamu"😀😀😀 unajua kuchagua 😁 nilitaka nimrecommend kwako 😅😅yule ni chombo haswa achana na ayanda kashachuja btw nadhani anaitwa mondi.