Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,138
- 22,507
- Thread starter
- #41
Huyu dogo namuonaga kama fala kumbe huko jozi alikuwa na kazi kabisa akaacha etiMxolisi naye hovyo tu badala aenda zake jozi ila kabaki kurumbana na dingi yake tu.
Baba yake yupo sawa kabisa kumwambia atafute vyake sio kuparamia vilivyoundwa