Zidani
JF-Expert Member
- Apr 5, 2021
- 970
- 3,939
Nombuso atamuendesha sana Ayanda na imeshaanza kujionesha.😢dah aseh so mk alikua anasingiziwa tu poor him, mabuza sio kabisa aseh.... Nnachotamani kwa nombuso sai ni afe tu hana chamaana anachofanya😡 namchukia..... uyo mxo nae hana akili acha mtoto wa mjini amtoe hao funza kichwani