HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,703
- 48,143
Jiandae kupata burudaniWazo zuri sana ilo sasa subili nilifanyie kazi nikielekea kiwanjani mda si mrefu kutoka sasa.
Jiandae kupata burudaniWazo zuri sana ilo sasa subili nilifanyie kazi nikielekea kiwanjani mda si mrefu kutoka sasa.
Umeona hapo sasa?Wanaweza wakaenda 100 wakarudi watano wengine wamezamia mi siwahamini sana Dada zetu ha!ha!ha! kuna ambao nimekutana nao huku nataka nifunge nao kazi kwenye Mfurulizo wa Post zangu humu kuhusu Brazil we subili tu mkuu...
Aiseeee hapo si chepuki ni mwende wa 4:2:4 kila siku,kweli majuu majuu tuView attachment 166965
Kweli kabisa, mkuu mimi sibishi basi.
Mimi nipate mtoto kama huyo mchepuko wa nini tena.
bysange wewe hapo kweli utachepuka?
Yani mkuu ndo kunapambazuka huku ukienda ufukweni Hatari sana kama mie ambae sijazoea kuona vichupi basi shida sana nimezoea kuviona ndani tu lakini huku weeee!!
Nilikuwa sijui kama IRAN kuna watoto wazuri aiseee wako vizuri sana.
View attachment 166947View attachment 166948
Mkuu ndio hawa?
Kama ni hawa naona mambo yao sio mabaya
wewe si huwajui. Mimi nawajua nimeishi nao. Pole sana kama ulidhani ngozi nyeupe ni dili. Wanatamani sana ngozi yetu! Na wengi wanatumia sana pafumu. na huwa hawaogi kila siku kuepuka kuharibu ngozi. ni ngozi tu ya muafrika inayoweza kuoga kila siku na isiharibike.Sikubaliani na wewe
View attachment 166935View attachment 166936View attachment 166937
View attachment 166938View attachment 166939View attachment 166940View attachment 166941View attachment 166944View attachment 166945View attachment 166946View attachment 166947View attachment 166948View attachment 166950Mama watoto samahani roho ya kuchepuka inanizunguka sana Niombee sana.
Kwani kila mwarabu Muislam?mbona hawajavaa hijab?