Uzalendo unanishinda huku Brazil (No MakeUp)

Uzalendo unanishinda huku Brazil (No MakeUp)

NAPITA

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
5,077
Reaction score
2,250
a.JPGa.JPGa.JPG
a.JPGa.JPGa.JPGa.JPGa.JPGb.pnga.JPGa.JPGa.JPGb.pngMama watoto samahani roho ya kuchepuka inanizunguka sana Niombee sana.
 

Attachments

NAPITA ninamashaka utakuwa mzamiaji wa huko mara baada ya kindubwendubwe kuisha,maana hawa watoto si mchezo
 
Last edited by a moderator:
Yani mkuu ndo kunapambazuka huku ukienda ufukweni Hatari sana kama mie ambae sijazoea kuona vichupi basi shida sana nimezoea kuviona ndani tu lakini huku weeee!!
Mie ningekuwa wewe nashinda ufukweni tu kuangalia vibao
 
NAPITA ninamashaka utakuwa mzamiaji wa huko mara baada ya kindubwendubwe kuisha,maana hawa watoto si mchezo

Nilikuwa sijui kama IRAN kuna watoto wazuri aiseee wako vizuri sana.
 
HARUFU Hao nao wamo ila kuna mmoja hivi picha yake ya peke yake ninayo ngoja niitupie umcheki !!
 
b.jpg
HARUFU huyo hapo Mtoto anakauzutu ka ukweli Better than holding up an ak47
 
NAPITA mkuu jitahidi kuwe na hati miliki hawa wanaoiba kazi za watu inabidi wadhibitiwe haiwezekani wewe ufanye kazi kubwa wengine wachukue kirahisi kwenda kuzibandika kwenye blog zao.

Ikiwezekana unaziweka na chata kwa chini NAPITA
 
hahahaaaaaaaaaaaaa,ila wenzetu utakuta wanawaona wa kawaida sana
Ni kweli mkuu ugeni wa macho mimi naona wageni wengi wakija bongo wanasema mademu wa kibongo wakali sana, wakati sie tanaona kawaida
 
hahahaaaaaaaaaaaaa,ila wenzetu utakuta wanawaona wa kawaida sana
Hapana na wenyewe wanamendea sana tu mkuu unajua nilichokuja kungudua hawa wengi wao wako Ulaya wanaishi sasa timu yao ipo uku brazil wamekuja kuishangilia.Tanzania na sisi ebu tuje tushiliki wakubali totozz zetu sasa sijui zitakuja au watakuja wanaoishi mamton..
 
NAPITA mkuu jitahidi kuwe na hati miliki hawa wanaoiba kazi za watu inabidi wadhibitiwe haiwezekani wewe ufanye kazi kubwa wengine wachukue kirahisi kwenda kuzibandika kwenye blog zao.

Ikiwezekana unaziweka na chata kwa chini NAPITA

Wazo zuri sana ilo sasa subili nilifanyie kazi nikielekea kiwanjani mda si mrefu kutoka sasa.
 
Hapana na wenyewe wanamendea sana tu mkuu unajua nilichokuja kungudua hawa wengi wao wako Ulaya wanaishi sasa timu yao ipo uku brazil wamekuja kuishangilia.Tanzania na sisi ebu tuje tushiliki wakubali totozz zetu sasa sijui zitakuja au watakuja wanaoishi mamton..
Tutawatesa sana na totoz zetu za kibongo lakini sio totoz walete mambo ya kujilipua inatakiwa wanaangalia mashindano kisha wanarudi hapa nyumbani.

Sio kutafuta wanaume wenyeji kinguvu kwa ajili ya makaratasi, tunataka wanaenda kwenye mashindano kisha wanageuka baada ya mashindano au baada ya timu yetu kutolewa, sio kuzamia
 
Tutawatesa sana na totoz zetu za kibongo lakini sio totoz walete mambo ya kujilipua inatakiwa wanaangalia mashindano kisha wanarudi hapa nyumbani.

Sio kutafuta wanaume wenyeji kinguvu kwa ajili ya makaratasi, tunataka wanaenda kwenye mashindano kisha wanageuka baada ya mashindano au baada ya timu yetu kutolewa, sio kuzamia

Wanaweza wakaenda 100 wakarudi watano wengine wamezamia mi siwahamini sana Dada zetu ha!ha!ha! kuna ambao nimekutana nao huku nataka nifunge nao kazi kwenye Mfurulizo wa Post zangu humu kuhusu Brazil we subili tu mkuu...
 
Back
Top Bottom