Uwongo wa "camera 360"

Ndomana daima nawaambia watu ''just be real n accept how n what you are''
 
sawa na WIGI anavaa mwanamke unasema loo leo nimeopoa kimwana ukifika naye sehemu likidondoka wakati anavua suruali yake ya taiti utadhani mtu mwingine kaingia
 
mwee nimeiona kwa my wife hiyoo, ngoja nivizie kisimu chake naifutulia mbali isije ikawa anajifotoa kuwavutia vidume wengine nje huko 😛hoto:😕:A S 13:
 
Inabidi wanateknolojia wa invent 360 glasses....yani miwani zenye effects kuendana na hizo kamera. Siku unaenda fanya hiyo date unavaa miwani yako hapo mtakuwa mnaenda sawa.
 
Inabidi wanateknolojia wa invent 360 glasses....yani miwani zenye effects kuendana na hizo kamera. Siku unaenda fanya hiyo date unavaa miwani yako hapo mtakuwa mnaenda sawa.

hahahaha itakua la mana zaidi
 
mwee nimeiona kwa my wife hiyoo, ngoja nivizie kisimu chake naifutulia mbali isije ikawa anajifotoa kuwavutia vidume wengine nje huko 😛hoto:😕:A S 13:

hahahhhaa ..hahaha funny
 
sawa na WIGI anavaa mwanamke unasema loo leo nimeopoa kimwana ukifika naye sehemu likidondoka wakati anavua suruali yake ya taiti utadhani mtu mwingine kaingia

kweli kabisa tena kuna zile wanashonea ndani ya nywele zao wanaunganisha .. yaani huwezi kugundua .. wanawake wengi mjini ni artficial .. hawa kuwagundua mpaka wakutane na sekeke ya kulala polisi asubuhi uende ukamsalimie ..utafurahi ..
 
kweli kabisa tena kuna zile wanashonea ndani ya nywele zao wanaunganisha .. yaani huwezi kugundua .. wanawake wengi mjini ni artficial .. hawa kuwagundua mpaka wakutane na sekeke ya kulala polisi asubuhi uende ukamsalimie ..utafurahi ..
Ni kweli wengi wana sura za Michael Jackson.
 
Na mara nyingi picha zinazowekwa katika mitandao ya kijamii zinapigwa wakiwa wameweka hayo ma-make up,,,,,huwezi kutana na picha iliyopigwa mtu alipotoka kulala....
 
kwa hata mimi sura baya nitang'aa.....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…