Uwezo wa NIMR unafikirisha kutoa Tiba Lishe ya kufubaza Virus vya UKIMWI, tunaweza kuacha na ARV zenye masharti

Kujua proteas inhibitors, reverse transcriptase inhibitors, na intergrase inhibitors ndo ulete uswahili hayo ni majina tu ndg sayansi unayojua ni ya kukariri hauielewi ungeelewaa huwezi kuwabishia NIMR
Huyubmpaka aje kuelewa mpaka Yesu arudi, yeye kakaririahwa kuwa waafrika hatuwezi kitu.
 
Ni kama kisukari, shinikizo la juu la damu na ata magonjwa ya akili.Haya ni magonjwa sugu na tiba ni ya kudumu.Kwani unataka kuacha ARV?
Nimeuliza nikitaka kujua,kwani hata ambao hawana maambukizi wanatumia ARV?
20200515_135124.jpg
 
Mungu katuuwekea miti kwa ajili ya tiba mbali mbali ni sisi tu kujibidisha na tafiti ili tuvuke sio kuendekeza kuwategemea. HIV /Aids ni magonjwa yaliyotengenezwa na mabeberu ndio maana huku kwetu kiyafahamu ilikuwa mgumu. Sote tuweke nguvu zetu kwa watafiti hawa lazima tutapata matokeo chana tuachane na dawa za mabeberu. Kumbuka dawa za kufubaza formula zao zinajulikana nazo ni tiba lishe ARV nayo ni tiba lishe.

Mkuu, sikatai hilo lakini kama unasema watafiti wetu wanajua formula, mbona hujiulizi kwanini hata hizo tunazotumia hazitengenezwi hapa nchini?? Najua utasema ziko patented na ni kosa kuiga. Je unaweza kutwambia hapa toka NIMR ianze, wamekwishagundua dawa au lishe gani iliyofanyiwa utafiti na kuthibitika kufanya kazi??

Ukweli ni huu, tuna utamaduni wa kujali mambo madogo madogo. Hatuwekezi muda, fedha wala maarifa katika mambo makubwa! China anaweza kuiga kama sio kugundua kwa sababu amewekeza katika kugundua au kuiga!!

Na ukishindwa kushindana na mtu, jiunge nae. Sio umuonee husuda au kumtakia mabaya. Mambo hayo hayatakufanya uwe bora kuliko yeye!!

ARV ni tiba lishe iliyowekwa katika kidonge. Na kilicho katika kidonge kimoja kinaweza kupatikana katika lishe ya vyakula vya siku 20!! This is the point you are missing. It is a run against time!!!!! Time, bro!
 
Wana JF.


Kama China wanacopy kila aina ya technology kwanini nasi watanzania tukafanya hivyo? NIMR ni wakati wa kukopi madawa mbali mbali mengine kuyaongezea uwezo kwani tumeanza kuwa na imani nao. Chini ya Rais wetu Magufuri tunaweza.
Huyu unaye sema chini ya serikali yake mnaweza, umesha jiuliza kama kiongozi ameiwezesha vipi hiyo NIMR ili iweze kutekeleza majukumu yake?

Maana usije kuta huyo unaye mtegemea ndiye kirusi kinachoangamiza NIMR.
 
Utanisamehe, do you believe hizi concoctions za NIMR zinaua virus? seriously? Are these herbs new in our daily lives with our diseases? Zimetumika from time immemorial na magonjwa yakatumaliza mpaka hapo wazungu walipokuja na modern medicine. Kwahiyo unaamini kujifukiza? Kwani kujifukiza hakukuwepo tangu dunia inaumbwa?

Unaamini wazungu lishe yao ni duni ndiyo maana wameshindwa kukabiliana na corona? NIMR wametengeneza lishe bora kuliko lishe ya kila siku ya wazungu? (inawezekana).

Kumbuka plagiarism is an international crime and a civil wrong!

Washauri waende kwenye modern solutions to evolving and re-emerging diseases, traditional herbs with modern approaches, siyo kuwa encourage kuchemsha miti na kunywa/kujifukiza
Nyie ndo mnaturudisha nyuma. Mmekariri vitabu vya wazungu mkasahau kutumia akili mlizipewa na Mungu kana kwamba hivyo vitabu vilishushwa na malaika toka mbinguni

Mtoa mada kaeleza vizuri kwamba tangu ARV zianze kutolewa hadi leo watafiti wa Afrika walitakiwa wawe wameshajua kilichomo ndani ya hizo ARV nao waje na ARV yao sasa wewe uko bize na wazungu!

Hivi kabla ya wazungu kulikuwa hamna watu Afrika? Wote walikuwa wafu kwa magonjwa? Hamjiulizi kwamba haya madawa ni matokeo ya hii hi mimea mnayobeza? Kwani hayo madawa yao yameshushwa? Wao wananini wajiamini na nyie mmekosa nini hamjiamini kichwani?

Ukoloni waliotuweza wazungu ni kuleta haya mavitabu tuyakariri na kusahau kwamba kichwani Kuna akili tulipewa na Mungu
 
Kwahiyo yale maji ya NIMR ya kuchanganya changanya majani na mizizi unaona ndiyo inamaliza Corona kwa kufikiri? Halafu eti unawashauri watengeneze ya kupambana na HIV? Mungu pitisha mbali maana kwa akili zenu hamshindwi kupotoshana.
Kwa hiyo kwa akili zako unaamini hawawezi kutengeneza ya ukimwi? Mungu samehe kizazi hiki.
 
Mkuu, sikatai hilo lakini kama unasema watafiti wetu wanajua formula, mbona hujiulizi kwanini hata hizo tunazotumia hazitengenezwi hapa nchini?? Najua utasema ziko patented na ni kosa kuiga. Je unaweza kutwambia hapa toka NIMR ianze, wamekwishagundua dawa au lishe gani iliyofanyiwa utafiti na kuthibitika kufanya kazi??

Ukweli ni huu, tuna utamaduni wa kujali mambo madogo madogo. Hatuwekezi muda, fedha wala maarifa katika mambo makubwa! China anaweza kuiga kama sio kugundua kwa sababu amewekeza katika kugundua au kuiga!!

Na ukishindwa kushindana na mtu, jiunge nae. Sio umuonee husuda au kumtakia mabaya. Mambo hayo hayatakufanya uwe bora kuliko yeye!!

ARV ni tiba lishe iliyowekwa katika kidonge. Na kilicho katika kidonge kimoja kinaweza kupatikana katika lishe ya vyakula vya siku 20!! This is the point you are missing. It is a run against time!!!!! Time, bro!
ARV sio tiba lishe.Ni dawa.Makundi ya vyakula ni wanga ,protini, mafuta, madini, vitamini na maji.ARV haziko huko.Ata ule gunia zima la mahindi huwezi kupata kitu kinafana na ARV katika mwili wako.
Lishe ni muhimu kwa mgonjwa yeyote lakini lishe sio tiba ya HIV.
 
Define modern medicine! Ufafanue hayo madawa ya wazungu kwa sababu unaonekana kusema hawatumii miti. And by the way hao hao wazungu kila kukicha wanafukuzia kwa kuchoma miti na hasa wakati huu wa tauni! Ina maana wacha kudanganya umma kuwa wazungu hawajifukizii
 
tanzania wanaotibu ngoma kwa miti shamba wako mmoja yupo pemba shangazi yangu ndo kamtibu ila hataki kabisa ajulikani ndo mana sitaji pemba gani mwingine yule jamaa alo waambia utopolo nakumbuka gem ya simba na yanga ile walivyoanza tu mpira wakapiga nje anapatikana juani
 
Kwa argument kama hii, sidhani kama una shule ya maana so as to be able to discuss such issues. Kwaheri!
wewe mwenye shule umeisaidia nini jamii yako huko kijijini kwenu? Kwa kukariri hivyo vitabu vya wazungu ndo mnajiona mnashule na nyie
 
Mkuu, sikatai hilo lakini kama unasema watafiti wetu wanajua formula, mbona hujiulizi kwanini hata hizo tunazotumia hazitengenezwi hapa nchini?? Najua utasema ziko patented na ni kosa kuiga. Je unaweza kutwambia hapa toka NIMR ianze, wamekwishagundua dawa au lishe gani iliyofanyiwa utafiti na kuthibitika kufanya kazi??

Ukweli ni huu, tuna utamaduni wa kujali mambo madogo madogo. Hatuwekezi muda, fedha wala maarifa katika mambo makubwa! China anaweza kuiga kama sio kugundua kwa sababu amewekeza katika kugundua au kuiga!!

Na ukishindwa kushindana na mtu, jiunge nae. Sio umuonee husuda au kumtakia mabaya. Mambo hayo hayatakufanya uwe bora kuliko yeye!!

ARV ni tiba lishe iliyowekwa katika kidonge. Na kilicho katika kidonge kimoja kinaweza kupatikana katika lishe ya vyakula vya siku 20!! This is the point you are missing. It is a run against time!!!!! Time, bro!
Waliotengeneza ARV sio Mailaika. Kwani kuiga kitu inakuchukua miaka mingapi? Au content ya vitu vilivyomo kwenye dawa hizi hazijulikani? Inabidi tuanze kujiamini wenyewe. Miti itokanayo na madawa haya tumepewa bureee.
 
ARV sio tiba lishe.Ni dawa.Makundi ya vyakula ni wanga ,protini, mafuta, madini, vitamini na maji.ARV haziko huko.Ata ule gunia zima la mahindi huwezi kupata kitu kinafana na ARV katika mwili wako.
Lishe ni muhimu kwa mgonjwa yeyote lakini lishe sio tiba ya HIV.
ARV sio Dawa neno dawa utibi na kuondosha ugonjwa kabisa. Hii ni Tina lishe ya kufubaza tu
 
Kwanza hakuna virusi vya UKIMWI duniani hivyo mada yako inakosa maana kabisa.

Wazungu wengi sana wameshajua ukweli huu, lakini sisi waafrika goigoi wa kufikiri na kutafakari kwa kina bado tuko nyuma sana ndio maana tunaendelea kuburuzwa na wazungu...

Pili hata hiyo COVID-19 haipo, kilichokuwepo ni seasonal influenza na ilikuwepo tangu muda mrefu na sio ugonjwa wa kupewa air time hivyo...hakuna dalili hata moja ya COVID-19 seasonal influenza, HAKUNA...walichofanya washenzi wazungu ni kuitumia influenza kama loophole na kuibatiza jina la COVID-19 na kuipa promotion kubwa kupitia vipimo fake, vyombo vikubwa na vidogo vya habari, watu maarufu kama wanamuziki, wanamichezo, wanasiasa nk..

Hii ndio dunia yetu ilivyo, kama hauko makini kusugua brain utabaki kuburuzwa tu kila siku.
 
Usilinganishe HIV na virusi vingine.

Hata upate lishe bora ya namna gani ,bila kutumia ARVs utaondoka mapema.
Usikariri NIMR ni research institution wataalam wetu wanaweza kuja na kitu ni hivo tu hawaruhusiwi kujitangaza ila wanadawa hadi za tezi dume
 
NIMRI hawa hawa? Enzi zile zikisambaZwa ARV famba kutoka kile kiwanda cha mada.. walikuwepo? Walishindwa hata kufanya utafiti kuokoa jahazi? Sawa najua wao sio regulatory body ya masuala ya madawa , ila hata kufanya study kuonyesha impact ya madawa yaliyodhaniwa feki walishindwa? Kaazi kweli!
Hiyo ilikuwa kazi ya TFDA
 
Back
Top Bottom