Uwezo mdogo wa kufikiri kwa wanaume

Tatizo ni kuamini kuwa kuna kanuni za watu kufuata ili maisha yao yatafsiriwe yamefanikiwa.
Ndoa ili ufanikiwe lazima uwe na mke unayeweza kumsikiliza na mwenye hayo mawazo ya kufanikisha

Kumshauri mwanaume ni mpaka autake huo ushauri na uwe na uwezo wa kumshauri kwenye hilo jambo ambalo kwa uzoefu kuna nyumba ndogo pia zimefanikisha waume sp sio suala la kuolewa ni suala na akili,nidhamu na waliokuzunguka ni kina nani

Kuna katabia ka kuona ndoa kama zawadi na mbingu na kusheherekea au kupokea sifa za mume kwa kuwa tu mnaishi nyumba moja. Fanikiwa wewe naye afanikiwe zake zaidi mapenzi na heshima viwepo
 
vijana wengi wasiooa mpaka miaka 35 maisha yao ni hopeless hawanaga kitu....ila wale waliopata maendeleo mapema maisha yao yanakuaga na maendeleo mapema.
.
1. Naomba ufafanuzi kwenye hiyo quote..
Then 2. Nmeshangaa umeandika uzi wote huu..umetoa mifano ya wenzako na sijaona mfano wako hapo..tunataka tukuelewe ww upo upande gani..successful au unsuccessful one kulingana na mifano yako.
 
Ebu ngoja kwanza......
Kwaninwewe umeoa?
Je una umri gani?
Kwa umri wako, unanini?

Ebu naomba tuanzie hapo kwanza, maana naona kuna kila dalili za kutwanga maji kwenye kinu
 
Habari Zenu.
Nimegundua kwamba uwezo wa mwanaume kufikiri bila ya mwanamke ni finyu.
Ukiangalia ma senior bachelor wa mjni hawanaga lolote zaidi ya nguo zake za kuvaa na kigari Chake basi. ela yote anamalizia bar na supu za asubuhi. utakuta kijana ni graduate Ana age between 28 hadi 30 hawazi lolote kuhusu maisha eti bado anajiona mtoto.
Wito wangu ni vijana wa mjini muamke, ukishafika miaka 27 wewe ni Mtu Mzima, Anza kujipanga kwa maisha yako. vijana wengi wasiooa mpaka miaka 35 maisha yao ni hopeless hawanaga kitu....ila wale waliopata maendeleo mapema maisha yao yanakuaga na maendeleo mapema.

mfano. kuna Dk mmoja ambae ni DG wa sehemu flani hajaoa na ana miaka karibu 40. maisha yake ni hopeless anaishi nyumba ya kupanga na hana kitu.wala kiwanja japo ameshika nyadhifa mbalimbali nchini.

Nna rafiki Ana 29 na bado anakaa kwao

nna kama Ana 30yrs hajaoa haina sababu ya kukaa nyumba kubwa mpaka leo anaishi chumba kimoja kigeto Geto na mifano mingine kibao.

Ushauri
Wanaume jifunzeni kuoa haraka akili ya mwanamke ina maarifa makubwa yatakayokufanya uendelee haraka. ukijifanya muchknow utaishia ivoivo.

Behind every successfully man there is a women.
Wanawake wenyewe vilaza hawa,wanatumaliza nguvu za kiume tu.
 
Back
Top Bottom