Uwezekano wa Kikwete Kurudi 2020

Uwezekano wa Kikwete Kurudi 2020

Duh mkuu punguza hasira kidogo,inaonekana kama angekuwa ni mshkaji wa kitaa ungemsulubisha aicee.

Ameitia aibu taasisi ya Urais, amechafua jina Rais, amelifilisi taifa. Hakika kama yangekuwa ni mamlaka yangu ningemfuta duniani by firing squad, tufute kabisa kizazi kichafu!
 
Jk kurudi "mawee" hana uwezo, dhaifu na legelege! sasa hivi hatutachagua kuangalia kupokezana kwa dini. sasa hivi ni uwezo tuuu! mwinyi bure jk bure. haturudii tena
 
Katiba inaruhusu mtu aliyewahi kuwa rais kugombea kwa vipindi vitatu lakini visiwe mfululizo. Angalia alichofanya PUTIN. Vipindi vyake viwili vilipoisha alikimbilia kwenye uwaziri mkuu, then akaja kugombea awamu ya tatu...
Putin aliipiga chenga Katiba.
 
Arudi kumwongoza nani na kwa lipi? Leo hii utawaambia Watanzania mazuri yepi ya mkwere wakuelewe! Acheni kujaza server na hii porojo.
 
Hakuna tusi kubwa kama kusema ndugu yangu ana akili kama za jk....ni tusi.ni kuwa umemchoka ndugu yangu na humpend kabsa unataka achomwe moto. Ni sawa na mtu anayekuita mwizi mitaa ya kariakoo.... Na wala hujaiba kitu. Acheni luqha za matusi jaman. Msifananishe koo za watu na mambo ya kijinga.
 
Katiba inaruhusu mtu aliyewahi kuwa rais kugombea kwa vipindi vitatu lakini visiwe mfululizo. Angalia alichofanya PUTIN. Vipindi vyake viwili vilipoisha alikimbilia kwenye uwaziri mkuu, then akaja kugombea awamu ya tatu...
JK alishasema amechoka na anawaonea gere sana wenzie wanaostaafu na kuuacha urais
Labda kama wewe ni JK mwenyewe unataka kutengua kauli yako, hapo sawa
 
mtoa mada alikuwa muosha vyombo pale ikulu Jp anapiga ugali na habakiz Jk alikuwa anapiga viepe, pilau na anakula kidogo tu muosha sahan anamkumbuka......
 
Mawazo mengine. Mtu hajavunja sheria kwa kutoa maoni yake.

Kikwete mwenyewe alisema kachoka baada ya kazi ngumu. Sasa arudi tena ili aweje?
...eti! Arudi ili iweje? Ili CCM imfie mikononi? Aliponea chupuchupu 2015. HATAMANI tena. Ana nguvu za mwili kweli ndo sababu anaendelea na kazi yake: Kuwa hewani nusu ya maisha yake kwa mwaka! Wa sasa hata Chakito hajaenda.....
 
Back
Top Bottom