Uwezekano wa Kikwete Kurudi 2020

Uwezekano wa Kikwete Kurudi 2020

Wana jamvi, naomba mniambie kuhusu uwezekano wa JK kurudi Ikulu mwaka 2020! Hili sio jambo geni. Hata Mkapa alipoachia madaraka, kulikuwa na mijadala ya kuhusu kurudi kwake tena Ikulu.
Ukiangalia kwanza JK bado ana nguvu za kimwili pamoja na umri wake mwingi, pili ni kiiongozi ambaye alikuwa na uwezo mkubwa wa ku multi task. Yani sio rahisi kujua kuwa ameshikilia bango ishu ipi. Kote kote alikuwepo na hata wataalam wa masuala ya kiuchumi wanaweza kupima mafaniko ya JK katika nyanja mbali mbali (parameters).
Kwenye sekta ya kibenki. Enzi za JK idadi ya benki ziliongezeka kutoka kwenye benki kumi hivi mpaka kufikia benki hamsini hivyo kuongeza mzunguko wa fedha na ukopeshaji.
Sekta ya ujenzi: Sekta ya ujenzi nayo imekuwa kwa kasi. Kipindi JK anaingia ilikuwa kuna ghorofa moja maarufu la PPF tower ambalo kila mtu alikuwa anaenda kupigia picha pale. Leo hii kuna maghorofa kama nyuki.
Sekta ya elimu: Vyuo vikuu viliongezeka toka vyuo vichache vya SUA, Mzumbe na UD, na mpaka sasa kuna zaidi ya vyuo vikuu ishirini.
Ni kweli kuna mapungufu kwa kukua kwa baadhi ya sekta kama ya afya, na kutokupanuka kwa ajira kwa kiwango cha kuweza ku absorb wasomi wote, lakini nikitumia parameter (indicators) za maendeleo nadhani huenda JK was the best president this country has ever had...
Ulitakiwa umalizie hivi: Ujumbe huu umeletwa kwenu na watu wa Msoga wakishirikiana na watu wa Lumumba
 
Katiba inaruhusu mtu aliyewahi kuwa rais kugombea kwa vipindi vitatu lakini visiwe mfululizo. Angalia alichofanya PUTIN. Vipindi vyake viwili vilipoisha alikimbilia kwenye uwaziri mkuu, then akaja kugombea awamu ya tatu...
Kumbe Putin ni rais wa hapa Tanzania!
 
Arudi wapi labda kacheza vidiku na wakwerewenzie jkhafai kuwa hata house boy wa ikulu Hilo kosa hatutalirudia
 
Utakuwa umekanyaga mdudu mbaya. Haraka sana Tafuta kanisa la kiroho karibu na ulipo wakakutoe mapepo yaliyokuvaa kabla hayajaendelea kukudhuru.

Queen Esther

Wana jamvi, naomba mniambie kuhusu uwezekano wa JK kurudi Ikulu mwaka 2020! Hili sio jambo geni. Hata Mkapa alipoachia madaraka, kulikuwa na mijadala ya kuhusu kurudi kwake tena Ikulu.
Ukiangalia kwanza JK bado ana nguvu za kimwili pamoja na umri wake mwingi, pili ni kiiongozi ambaye alikuwa na uwezo mkubwa wa ku multi task. Yani sio rahisi kujua kuwa ameshikilia bango ishu ipi. Kote kote alikuwepo na hata wataalam wa masuala ya kiuchumi wanaweza kupima mafaniko ya JK katika nyanja mbali mbali (parameters).
Kwenye sekta ya kibenki. Enzi za JK idadi ya benki ziliongezeka kutoka kwenye benki kumi hivi mpaka kufikia benki hamsini hivyo kuongeza mzunguko wa fedha na ukopeshaji.
Sekta ya ujenzi: Sekta ya ujenzi nayo imekuwa kwa kasi. Kipindi JK anaingia ilikuwa kuna ghorofa moja maarufu la PPF tower ambalo kila mtu alikuwa anaenda kupigia picha pale. Leo hii kuna maghorofa kama nyuki.
Sekta ya elimu: Vyuo vikuu viliongezeka toka vyuo vichache vya SUA, Mzumbe na UD, na mpaka sasa kuna zaidi ya vyuo vikuu ishirini.
Ni kweli kuna mapungufu kwa kukua kwa baadhi ya sekta kama ya afya, na kutokupanuka kwa ajira kwa kiwango cha kuweza ku absorb wasomi wote, lakini nikitumia parameter (indicators) za maendeleo nadhani huenda JK was the best president this country has ever had...
 
Kikwete mwenyewe alisema kachoka baada ya kazi ngumu. Sasa arudi tena ili aweje?

Amekwisha watangazia kuwa ana maradhi ya tezi dume lakini bado tu mnataka arudi kuwa rais? Mnalo lenu jambo,mnataka kumuua mkweree wa watu!!
 
Ngojeni amrithi Ban Ki-Moon UN ndo mshike adabu. Unaposema wa nini dunia inasema ina kazi. Nenda JK.
 
wewe utakuwa unatumiwa na SHETANI.. KWA NINI UNAICHUKIA TANZANIA KIASI HIKI? HIYO MIAKA 10 YA KUFILISIWA UNAIONA MICHACHE UNATAKA KUTURUDISHA TENA UTUMWANI? mtu anayeweza hata kuwaza kuhusu kikwete kuwa rais tena huyo ni MHAINI ALIPASWA KUHUKUMIWA KIFO KABISA. INATOSHA KUWA NA MAUCHAFU KMA HAYA, NEXT TIME WATANZANIA HAWATOKUBALI.
Hivi babu sea na kijana wake walishatolewa mkuu?
 
Umekosa mada ya maana ya kupost mkuu?

Ni mtanzania yupi anataka hata Kikwete awe balozi wake wa nyumba kumi au hata Diwani?
bila shaka wewe utakuwa mtu wa kaskazini kwa kuwa una mawazo mgando zaidi ya mafuta. Hivi kwa akili yako unadhani Jk watu hawampendi? Unadhani watu hawajui alichokifanya?

Mtu anayepapatikiwa na UN, leo hii kwa Akili Zako unasema watu hawakubali kuwa na kikwete kama Mjumbe wa Nyumba kumi?

Wakati mwingine unaweza kuvaa nguo na Ukajiona Umejisitiri lakini maneno yako tu yanaweza kukuvua nguo na kukuweka Uchi mbele ya Umati wa watu.. Jk hafanani na ukoo wako wala ndugu yako yoyote..

PUNGUZA WIVU KWA MWANAUME MWENZIO
 
Tushasahau!! Yaani hata mambo yanayofukuliwa kila siku tunaona si kitu kuliko kuongezeka kwa benki sijui nn, duh hatutoki aise
Mchawi wa maendeleo ya nchi hii ni ujinga wa watanzania kama mtoa mada
 
Chini ya utawala wake kulikuwa na wimbi kubwa la wakwepa kodi(bandarini na wafanyabiashara),Matumizi ya ovyo ya fedha za walipa kodi kama vile safari za nje za mara kwa mara za Kikwete na viongozi wengine wa serikali pamoja na watumishi wa umma.Deni la taifa kuongezeka na kufikia zaidi ya trilioni ya 40,uzembe usiomithilika karibu ktk idara,taaisisi na mashirika ya umma kwa mfano ktk mahospitali ya umma,shule za umma,TANESCO, idara ya maji,idara ya ardhi na mipango miji,TANROADS,nk.Haya yote yalitokea kwa kiwango kikubwa chini ya utawala wake ndio unadhani unafaa arudi madarakani?you must be kidding!
Wana jamvi, naomba mniambie kuhusu uwezekano wa JK kurudi Ikulu mwaka 2020! Hili sio jambo geni. Hata Mkapa alipoachia madaraka, kulikuwa na mijadala ya kuhusu kurudi kwake tena Ikulu.
Ukiangalia kwanza JK bado ana nguvu za kimwili pamoja na umri wake mwingi, pili ni kiiongozi ambaye alikuwa na uwezo mkubwa wa ku multi task. Yani sio rahisi kujua kuwa ameshikilia bango ishu ipi. Kote kote alikuwepo na hata wataalam wa masuala ya kiuchumi wanaweza kupima mafaniko ya JK katika nyanja mbali mbali (parameters).
Kwenye sekta ya kibenki. Enzi za JK idadi ya benki ziliongezeka kutoka kwenye benki kumi hivi mpaka kufikia benki hamsini hivyo kuongeza mzunguko wa fedha na ukopeshaji.
Sekta ya ujenzi: Sekta ya ujenzi nayo imekuwa kwa kasi. Kipindi JK anaingia ilikuwa kuna ghorofa moja maarufu la PPF tower ambalo kila mtu alikuwa anaenda kupigia picha pale. Leo hii kuna maghorofa kama nyuki.
Sekta ya elimu: Vyuo vikuu viliongezeka toka vyuo vichache vya SUA, Mzumbe na UD, na mpaka sasa kuna zaidi ya vyuo vikuu ishirini.
Ni kweli kuna mapungufu kwa kukua kwa baadhi ya sekta kama ya afya, na kutokupanuka kwa ajira kwa kiwango cha kuweza ku absorb wasomi wote, lakini nikitumia parameter (indicators) za maendeleo nadhani huenda JK was the best president this country has ever had...
 
Back
Top Bottom