Uwezekano wa Kikwete Kurudi 2020

Uwezekano wa Kikwete Kurudi 2020

Kila mtu ana haki yakutoa maoni yake ila mkuu umeitumia vibya haki yko
 
Give us break please. Yaani arudi tena. Mamaaa tunarudi kwenye miradi ya kupiga. Nchi hii ingekuwa mbali sana pengine uchumi usingekuwa hivi. Hatujajua mpaka sasa kuna madudu mangapi hayaja tumbuliwa. Maana kilasiku naona kama hatukuwa na serikali hapo nyuma
 
Ha ha ha,watu mnafurahisha sana..
Eti hatukuwa na serikali.
Subirini kidogo mtaona
 
wewe utakuwa unatumiwa na SHETANI.. KWA NINI UNAICHUKIA TANZANIA KIASI HIKI? HIYO MIAKA 10 YA KUFILISIWA UNAIONA MICHACHE UNATAKA KUTURUDISHA TENA UTUMWANI? mtu anayeweza hata kuwaza kuhusu kikwete kuwa rais tena huyo ni MHAINI ALIPASWA KUHUKUMIWA KIFO KABISA. INATOSHA KUWA NA MAUCHAFU KMA HAYA, NEXT TIME WATANZANIA HAWATOKUBALI.


Wana jamvi, naomba mniambie kuhusu uwezekano wa JK kurudi Ikulu mwaka 2020! Hili sio jambo geni. Hata Mkapa alipoachia madaraka, kulikuwa na mijadala ya kuhusu kurudi kwake tena Ikulu.
Ukiangalia kwanza JK bado ana nguvu za kimwili pamoja na umri wake mwingi, pili ni kiiongozi ambaye alikuwa na uwezo mkubwa wa ku multi task. Yani sio rahisi kujua kuwa ameshikilia bango ishu ipi. Kote kote alikuwepo na hata wataalam wa masuala ya kiuchumi wanaweza kupima mafaniko ya JK katika nyanja mbali mbali (parameters).
Kwenye sekta ya kibenki. Enzi za JK idadi ya benki ziliongezeka kutoka kwenye benki kumi hivi mpaka kufikia benki hamsini hivyo kuongeza mzunguko wa fedha na ukopeshaji.
Sekta ya ujenzi: Sekta ya ujenzi nayo imekuwa kwa kasi. Kipindi JK anaingia ilikuwa kuna ghorofa moja maarufu la PPF tower ambalo kila mtu alikuwa anaenda kupigia picha pale. Leo hii kuna maghorofa kama nyuki.
Sekta ya elimu: Vyuo vikuu viliongezeka toka vyuo vichache vya SUA, Mzumbe na UD, na mpaka sasa kuna zaidi ya vyuo vikuu ishirini.
Ni kweli kuna mapungufu kwa kukua kwa baadhi ya sekta kama ya afya, na kutokupanuka kwa ajira kwa kiwango cha kuweza ku absorb wasomi wote, lakini nikitumia parameter (indicators) za maendeleo nadhani huenda JK was the best president this country has ever had...
 
Hiki ni kichekesho kwa kweli

Mtoa mada anachokiona ni majengo eti arudi kwa sababu alijenga majengo mengi yenye nini?

Halafu akishajenga mengine ndio ukapige picha?

Kama unapenda picha za majengo ungeenda New York City Tanzania pia bado sanaaaa
Mbaya zaid anashabikia majengo ya watu wakati yy analala mbavu za mbwa.
 
Katiba inaruhusu mtu aliyewahi kuwa rais kugombea kwa vipindi vitatu lakini visiwe mfululizo. Angalia alichofanya PUTIN. Vipindi vyake viwili vilipoisha alikimbilia kwenye uwaziri mkuu, then akaja kugombea awamu ya tatu...


Tatizo ushaifananisha urusi na tanzania, mwisho utakujakusema magufuli agombee hata mala 10 mbona museven anagombe, katiba hiyo ya kuludia ipo urusi na iran sijui kama kuna kwingine.
 
Hiki ni kichekesho kwa kweli

Mtoa mada anachokiona ni majengo eti arudi kwa sababu alijenga majengo mengi yenye nini?

Halafu akishajenga mengine ndio ukapige picha?

Kama unapenda picha za majengo ungeenda New York City Tanzania pia bado sanaaaa
you're very clever!!
 
Wana jamvi, naomba mniambie kuhusu uwezekano wa JK kurudi Ikulu mwaka 2020! Hili sio jambo geni. Hata Mkapa alipoachia madaraka, kulikuwa na mijadala ya kuhusu kurudi kwake tena Ikulu.
Ukiangalia kwanza JK bado ana nguvu za kimwili pamoja na umri wake mwingi, pili ni kiiongozi ambaye alikuwa na uwezo mkubwa wa ku multi task. Yani sio rahisi kujua kuwa ameshikilia bango ishu ipi. Kote kote alikuwepo na hata wataalam wa masuala ya kiuchumi wanaweza kupima mafaniko ya JK katika nyanja mbali mbali (parameters).
Kwenye sekta ya kibenki. Enzi za JK idadi ya benki ziliongezeka kutoka kwenye benki kumi hivi mpaka kufikia benki hamsini hivyo kuongeza mzunguko wa fedha na ukopeshaji.
Sekta ya ujenzi: Sekta ya ujenzi nayo imekuwa kwa kasi. Kipindi JK anaingia ilikuwa kuna ghorofa moja maarufu la PPF tower ambalo kila mtu alikuwa anaenda kupigia picha pale. Leo hii kuna maghorofa kama nyuki.
Sekta ya elimu: Vyuo vikuu viliongezeka toka vyuo vichache vya SUA, Mzumbe na UD, na mpaka sasa kuna zaidi ya vyuo vikuu ishirini.
Ni kweli kuna mapungufu kwa kukua kwa baadhi ya sekta kama ya afya, na kutokupanuka kwa ajira kwa kiwango cha kuweza ku absorb wasomi wote, lakini nikitumia parameter (indicators) za maendeleo nadhani huenda JK was the best president this country has ever had...
Mkuu unataka huyu mkwere arudi wapi??
 
Wana jamvi, naomba mniambie kuhusu uwezekano wa JK kurudi Ikulu mwaka 2020! Hili sio jambo geni. Hata Mkapa alipoachia madaraka, kulikuwa na mijadala ya kuhusu kurudi kwake tena Ikulu.
Ukiangalia kwanza JK bado ana nguvu za kimwili pamoja na umri wake mwingi, pili ni kiiongozi ambaye alikuwa na uwezo mkubwa wa ku multi task. Yani sio rahisi kujua kuwa ameshikilia bango ishu ipi. Kote kote alikuwepo na hata wataalam wa masuala ya kiuchumi wanaweza kupima mafaniko ya JK katika nyanja mbali mbali (parameters).
Kwenye sekta ya kibenki. Enzi za JK idadi ya benki ziliongezeka kutoka kwenye benki kumi hivi mpaka kufikia benki hamsini hivyo kuongeza mzunguko wa fedha na ukopeshaji.
Sekta ya ujenzi: Sekta ya ujenzi nayo imekuwa kwa kasi. Kipindi JK anaingia ilikuwa kuna ghorofa moja maarufu la PPF tower ambalo kila mtu alikuwa anaenda kupigia picha pale. Leo hii kuna maghorofa kama nyuki.
Sekta ya elimu: Vyuo vikuu viliongezeka toka vyuo vichache vya SUA, Mzumbe na UD, na mpaka sasa kuna zaidi ya vyuo vikuu ishirini.
Ni kweli kuna mapungufu kwa kukua kwa baadhi ya sekta kama ya afya, na kutokupanuka kwa ajira kwa kiwango cha kuweza ku absorb wasomi wote, lakini nikitumia parameter (indicators) za maendeleo nadhani huenda JK was the best president this country has ever had...
JUZI SI KUNA CHUO KILIFUNGWA KWA KUTOA ELIMU CHINI YA KIWANGO??? AU HUJUI?
 
Katiba inaruhusu mtu aliyewahi kuwa rais kugombea kwa vipindi vitatu lakini visiwe mfululizo. Angalia alichofanya PUTIN. Vipindi vyake viwili vilipoisha alikimbilia kwenye uwaziri mkuu, then akaja kugombea awamu ya tatu...
Sijui umesoma shule gani. Hizi elimu hizi ama kweli zinatia aibu. Hivi kweli unaweza kusema katiba yetu inamruhusu kugombea vipindi vitatu halafu ukatoa mfano wa Russia. Duh!! Hebu tumia simu hiyo hiyo unayotumia kupost u download katiba ya Tz utafute kifungu hicho unachosema. Bongo hii ukishakuwa rais kwa vipindi viwili ndo inakuwa imetoka hata kama we una uzuri wa malaika. Hakuna kurudia. Ni vipindi viwili tu.
Sijui umeelewa au bado. Au huamin!!!
 
Katiba inaruhusu mtu aliyewahi kuwa rais kugombea kwa vipindi vitatu lakini visiwe mfululizo. Angalia alichofanya PUTIN. Vipindi vyake viwili vilipoisha alikimbilia kwenye uwaziri mkuu, then akaja kugombea awamu ya tatu...
urais unagombea vipindi viwili tu(yaani miaka kumi),siyo zaidi ya hapo,iwe mitano mitano mfululizo au mitano ukidondoka unacho kipindi kimoja,baaassss
 
Nilikua na vijana sehemu flani wakaxema wataomba JPM hata kama mda wake ukiisha aendelee angalau mia mingine mitano iwe kumi na tano mi nilicheka
 
na
Wana jamvi, naomba mniambie kuhusu uwezekano wa JK kurudi Ikulu mwaka 2020! Hili sio jambo geni. Hata Mkapa alipoachia madaraka, kulikuwa na mijadala ya kuhusu kurudi kwake tena Ikulu.
Ukiangalia kwanza JK bado ana nguvu za kimwili pamoja na umri wake mwingi, pili ni kiiongozi ambaye alikuwa na uwezo mkubwa wa ku multi task. Yani sio rahisi kujua kuwa ameshikilia bango ishu ipi. Kote kote alikuwepo na hata wataalam wa masuala ya kiuchumi wanaweza kupima mafaniko ya JK katika nyanja mbali mbali (parameters).
Kwenye sekta ya kibenki. Enzi za JK idadi ya benki ziliongezeka kutoka kwenye benki kumi hivi mpaka kufikia benki hamsini hivyo kuongeza mzunguko wa fedha na ukopeshaji.
Sekta ya ujenzi: Sekta ya ujenzi nayo imekuwa kwa kasi. Kipindi JK anaingia ilikuwa kuna ghorofa moja maarufu la PPF tower ambalo kila mtu alikuwa anaenda kupigia picha pale. Leo hii kuna maghorofa kama nyuki.
Sekta ya elimu: Vyuo vikuu viliongezeka toka vyuo vichache vya SUA, Mzumbe na UD, na mpaka sasa kuna zaidi ya vyuo vikuu ishirini.
Ni kweli kuna mapungufu kwa kukua kwa baadhi ya sekta kama ya afya, na kutokupanuka kwa ajira kwa kiwango cha kuweza ku absorb wasomi wote, lakini nikitumia parameter (indicators) za maendeleo nadhani huenda JK was the best president this country has ever had...
na we ni jipu unaitaji kutumbuliwa
 
Jk ni mstaatabu han'gan'ganii madaraka kama Freemain Aikael Nkurunzinza yule mwenyekiti wa kudumu wa cdm
 
Mtoa mada usiniambie bana kama huko Segerea kuna sehemu inaitwa Ikulu 2020... Maana kwa nnavyoona mambo yanavyozidi kufukuliwa soon jamaa atapelekwa huko mapema... Au haujasikia kipengele cha rais kutoshitakiwa Magu anataka kukifuta!!?
 
Wana jamvi, naomba mniambie kuhusu uwezekano wa JK kurudi Ikulu mwaka 2020! Hili sio jambo geni. Hata Mkapa alipoachia madaraka, kulikuwa na mijadala ya kuhusu kurudi kwake tena Ikulu.
Ukiangalia kwanza JK bado ana nguvu za kimwili pamoja na umri wake mwingi, pili ni kiiongozi ambaye alikuwa na uwezo mkubwa wa ku multi task. Yani sio rahisi kujua kuwa ameshikilia bango ishu ipi. Kote kote alikuwepo na hata wataalam wa masuala ya kiuchumi wanaweza kupima mafaniko ya JK katika nyanja mbali mbali (parameters).
Kwenye sekta ya kibenki. Enzi za JK idadi ya benki ziliongezeka kutoka kwenye benki kumi hivi mpaka kufikia benki hamsini hivyo kuongeza mzunguko wa fedha na ukopeshaji.
Sekta ya ujenzi: Sekta ya ujenzi nayo imekuwa kwa kasi. Kipindi JK anaingia ilikuwa kuna ghorofa moja maarufu la PPF tower ambalo kila mtu alikuwa anaenda kupigia picha pale. Leo hii kuna maghorofa kama nyuki.
Sekta ya elimu: Vyuo vikuu viliongezeka toka vyuo vichache vya SUA, Mzumbe na UD, na mpaka sasa kuna zaidi ya vyuo vikuu ishirini.
Ni kweli kuna mapungufu kwa kukua kwa baadhi ya sekta kama ya afya, na kutokupanuka kwa ajira kwa kiwango cha kuweza ku absorb wasomi wote, lakini nikitumia parameter (indicators) za maendeleo nadhani huenda JK was the best president this country has ever had...
1. Idadi ya wanafunzi wanaomaliza darasa la 7 bila kujua kusoma na kuandika imeongezeka mara dufu

2. Umeme unazidi kuwa mtihani mzito kwa Watanzania

3. Idadi ya wanafunzi wanaokaa chini imeongezeka sana

4. Idadi ya watanzania wanaouawa kwa kugombea ardhi na malisho imekuwa kubwa

5. Majizi serikalini yamezidi kuwa mengi

6. Idadi ya Watanzania wanaokunywa maji machafu yenye matope imeongezeka
 
Back
Top Bottom