Uwekezaji wa NHC - Mchechu awajibike

Uwekezaji wa NHC - Mchechu awajibike

Joshi Kanji

Member
Joined
Mar 1, 2008
Posts
75
Reaction score
43
Wakati taifa lipo katika kuombeleza janga la kuanguka kwa jengo la ghorofa kati kati ya jiji, kuna mambo kadhaa yamejitokeza kuhusiana na mkasa huu.

Shirika la Umma kama NHC kuingia ubia wa kimagumashi magumashi na wafanyabishara wababaishaji kumepelekea kupotea kwa maisha ya ndugu zetu takriban 20+. Inakuwaje uwekezaji mkubwa kama huu NHC wanaacha kila kitu kiendeshwe kienyeji enyeji tu? kibaya zaidi sasa wanaibuka na kusema wanapitia upya sera yao ubia ili washirikishwe zaidi!.

Kwa mshangao mkubwa juhudi zote za uokoaji zinazo endelea si Mchechu au kiongozi yeyote mwandamizi wa NHC alie thubutu walau kufika site kujionea hali halisi. Rais pamoja na majukumu yake mengi ameshatembelea eneo husika mara mbili.

Imefika wakati mkurugenzi mkuu wa NHC akamatwe na awajibishwe na mamlaka za uteuzi. Taifa haliwezi kuingia katika janga kubwa kama hili wakati wahusika wala hawana habari.

Mchechu has to go....

==========
Majibu ya Nehemiah Kyando Mchechu:
Joshi, NKM stands for Nehemiah Kyando Mchechu, and in future when you see such an ID just know that it's Mchechu responding on issues or commenting! I am not a person who will hide is ID since I believe in truth and transparent! Neither do you have so many people at my level in Public Sector and non political who stands by their ID's.

Just to prove you wrong I am now at the accident scene as I am writing to you and we are not more than 70 people, and I was hear yesterday up until 01:30am! I am following through all the comments in different threads, actually I have always been a good follower of JamiiForums but I was never a contributor! I think the series of threads which most are misleading without facts have pushed me to consider responding to all these issues. However, by obviously fact I do not expect to become an active member on contributions!

For now I have opted to focus on the task at hand here at the accident scene, and I will try to respond on these few in a very brief in the coming two days either by posting a thread or by calling a press conference where you can come and ask as many questions as you want and we will respond to all of them and I hope it Will be at your satisfactory level and to others as well! There is nothing to hide here, no politics, no partisans side and no blax2! I am sure the press conference has always enough participants who are members of JamiiForums and they gone through all the posted comments and certainly they will be looking for answers by asking the same sort of questions!

Thanks and stay relaxed till then!
 
Hapa tunaweza kupata angalau mwanga wa nini kinaweza kuwa sababu kwa jengo hili la mtaa wa Indira Ghandi jijini Dar-es-Salaam kuporomoka huku tukiwaangazia wahusika wakuu wa mradi wa ujenzi wa jengo hili lililoporomoka kwa kuangalia matatizo na changamoto za sekta ya ujenzi nchini Nigeria labda zinafanana na zetu kwa karibu:

clients : NHC / LADHA CONSTRUCTION
ENGINEERS:
  • STRUCTURAL ENGINEERS - SOU CONSULT
  • MAIN CONTRACTOR
QUANTITY SURVEYORS; NZIKO QUANTS


FACTORS RESPONSIBLE FOR THE OCCURRENCES OF BUILDING COLLAPSE IN NIGERIA

In general terms, earlier studies have identified a number of factors that are responsible for building collapse in Nigeria.

Yusuf (2006) classified the causes as physical factors, ecological status of the site, composition of technical components, social factors, economic factors, engineering factors, human factors, government policies, and political factor.

Hall (1984) ascribed faulty design, faulty execution of work, and use of faulty materials as major causes of structural failures; while Merritt and Ambrose (1989) were of the opinion that overturning of structures due to heavy wind loads, sliding of structures due to high wind, roof uplift or sliding, and building sway due to lateral loads were major factors of failures in buildings. Oyewande (1992) identified additional factors responsible for building collapses in Nigeria; these are design faults, faults on construction site and product failure, with design fault contributing most significantly to such collapses.

Other studies by Akinpelu (2002), and Richards (2002) found that structural failures, environmental changes, natural and human-induced hazards, improper presentation and interpretation in design, deterioration of reinforced concrete occurring as a result of corrosion of reinforcement caused by carbonation and chloride ingress, cracking caused by overloading, subsidence or basic design faults, and construction defects are causes of building collapses.

Ayininuola and Olalusi (2004) opined that as a result of high cost of modern building materials, use of local methods of construction were employed without design codes. The compositions of the construction methods included structural slabs and all-round lintels of hollow sandcrete blocks of low compressive strength that sometimes resulted in sagging of slabs and crushing of blocks underneath the slabs.

In addition, Ahmad (2004) found additional causes different from earlier studies: these are fungus stain and harmful growth, erosion of mortar joints, defective plastered rendering, cracking and leaning of walls, defective rainwater goods, decayed floor boards, insect or termite attack, dampness and penetration through walls, and unstable foundations.

According to Ozerdem (1999) and Global Corruption Report (2005), corruption has been identified as one factor that has caused high cost of building materials and reduction in standard of construction works in developing economy. They stated that corruption may be at different stages, namely, at contract award, planning and design stage, construction stage, and when the building is completed. It may take different forms like bribery, deception and collusion the end products of which are lowering of construction standard, increasing cost of repair and maintenance, defects in building that may not be discovered until eventually collapse.

Source: Analysis of incidences of collapsed buildings in Lagos metropolis, Nigeria/Pastatu griuvimo atveju daznumo lagose (Nigerija) analize. - Free Online Library
 
Naikubali hoja yako..

Mchechu anahusika kwa sana, awajibishwe pia
 
Mkuu,

Kama una chuki binafsi na mchechu sema but hoja yako haina mashiko. Mchechu ameingia after 2007 na ameinadilisha shirika lililokuwa mbioni kufa sasa wanatembelea hilux kwenye kazi zao. Pia hoja yako haina mashiko kwasababu mkataba wa kujenga lile jengo ulifungwa mwaka 2006, sasa Nehemiah Mchechu anahusikaje? Mie namtetea labda ulete sababu zenye mashiko but hii sio mkuu.
 
Mkuu,

Kama una chuki binafsi na mchechu sema but hoja yako haina mashiko. Mchechu ameingia after 2007 na ameinadilisha shirika lililokuwa mbioni kufa sasa wanatembelea hilux kwenye kazi zao. Pia hoja yako haina mashiko kwasababu mkataba wa kujenga lile jengo ulifungwa mwaka 2006, sasa Nehemiah Mchechu anahusikaje? Mie namtetea labda ulete sababu zenye mashiko but hii sio mkuu.

Mkuu with due respect wewe hoja zako ndio hazina mashiko!

1. Unadai mkataba ulifungwa 2006 na kwa kuwa Mchechu aliingia 2007 hahusiki! wot a joke! Jengo limeanguka jana 2013 kwa taarifa yako. Kibaya zaidi mkataba ulikuwa wa kujenga ghorofa 10 tu ngoma imeendelea mpaka ghorofa ya 16! under watchfull of Mchechu!

2. Eti "sasa wanatembelea Hilux!" kichekesho mkuu, kutembelea Hilux ndio justification ya kuua watu 20+?

Huu utetezi ulioleta hapa ni mwembamba sana, sidhani hata kama unafahamu dhana ya kuwajibika ilivyo. Likibuma chini ya uongozi wako ndio lako hilo, kaingia toka 2007 kwanini ali review mikataba ya kimagumashi?

Mchechu has to go....
 
Akishajiuzulu ndo what, kwani yale majengo mengine yalodondoka alihusika yeye, kujiuzulu kwa sababu mfanyakazi wako kakosea haina tija kwani itacreate watu kufanya makusudi ili kuwatoa wasiowapenda kwenye title ndo mana hata Lowassa alipojiuzulu iliishia kula kwake tu, mikataba mibovu inaendelea tu kusainiwa na urais ndo asahau kwani tutakuwa watanzania wa ajabu kama tutampa nchi mtu ambae hata mbwa wa ikulu akibweka bila sababu yeye anajiuzulu on behalf
 
Kwa style hii, niini usalama wa majengo mengine mengi ambayo NHC ameingia ubia na watu mbalimbali hapo City Center.
 
akishajiuzulu ndo what, kwani yale majengo mengine yalodondoka alihusika yeye, kujiuzulu kwa sababu mfanyakazi wako kakosea haina tija kwani itacreate watu kufanya makusudi ili kuwatoa wasiowapenda kwenye title ndo mana hata Lowassa alipojiuzulu iliishia kula kwake tu, mikataba mibovu inaendelea tu kusainiwa na urais ndo asahau kwani tutakuwa watanzania wa ajabu kama tutampa nchi mtu ambae hata mbwa wa ikulu akibweka bila sababu yeye anajiuzulu on behalf

No wonder tuna uongozi goi goi ikiwa dhana uwajibika kwa wengine ina maana "aki jiuzulu so what...?"
 
Kwa style hii, niini usalama wa majengo mengine mengi ambayo NHC ameingia ubia na watu mbalimbali hapo City Center.


Mkuu hapo tcha tcha! unaambiwa jirani na jengo lililo anguka kuna jingine la ubia maguamshi la NHC contractor huyo huyo na ngoma ipo 15th floor sasa anytime litashuka!
 
Mchechu has to go....
Mkuu Joshi, No!, Never! ...but...!.

Kuna aina mbili kuu za majanga, natural disasters, na negligence!.
Ajali ya MV Bukoba the death toll was over and above 1000!, it was caused by negligence!, nani amewajibika?!.
Yale mabomu ya Mbagala pia ni negligence, nani amewajibika?!.
Yako majanga makubwa kibao tuu ya kitaifa yanasababishwa na uzembe tuu, nani huwa anawajibika?!.
Utamaduni wa kuwajibika, ilizikwa na Nyarere!.

Tukiachana na utamaduni wa kuwajibika, tumebakiwa na huu wa kuwajibishwa, miongoni mwa wanaotakiwa kuwajibishwa ni watendaji wazembe wote!. Jee Mchechu yumo?, what role does he has?. Tembelea website ya NHC mkataba wa joint venture uko wazi plus roles and responsibilities za each party!.

Kwa transformation Mchechu aliyoifanya kwa NHC overnight, nilidhani angestahili kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, ainyooshe serikali kama alivyoibadili NHC!.

Ungeweka list ya wahusika wa kuwajibishwa with their roles, then Mchechu would be the last one simply because ni co- owner!, ila kitu ambacho nakubali ni tukio hili, limetoa funzo kwa NHC, to keep hands off, but eyes on kwenye hizi joint venture!.
Pasco.
 
No wonder tuna uongozi goi goi ikiwa dhana uwajibika kwa wengine ina maana "aki jiuzulu so what...?"

Lowassa kajiuzulu nini kimebadilika kwenye serikali, tatizo wabongo hata mtu aitie hasara nchi kiasi gani akijiuzulu tu roho zenu kwatu.
 
Kama Kansa imeshaenea mwili mzima kukata zivuma si suluhisho mkuu...
 
Ndugu yangu, maneno yako yamejaa ukweli na busara lakini nasikitika kusema sivyo itakavyokuwa. Huyu jamaa alitakiwa kunyongwa kama China. Unakumbuka kile kisa cha maziwa ya watoto?
 
Mkuu Joshi, No!, Never! ...but...!.

Kuna aina mbili kuu za majanga, natural disasters, na negligence!.
Ajali ya MV Bukoba the death toll was over and above 1000!, it was caused by negligence!, nani amewajibika?!.
Yale mabomu ya Mbagala pia ni negligence, nani amewajibika?!.
Yako majanga makubwa kibao tuu ya kitaifa yanasababishwa na uzembe tuu, nani huwa anawajibika?!.
Utamaduni wa kuwajibika, ilizikwa na Nyarere!.

Tukiachana na utamaduni wa kuwajibika, tumebakiwa na huu wa kuwajibishwa, miongoni mwa wanaotakiwa kuwajibishwa ni watendaji wazembe wote!. Jee Mchechu yumo?, what role does he has?. Tembelea website ya NHC mkataba wa joint venture uko wazi plus roles and responsibilities za each party!.

Kwa transformation Mchechu aliyoifanya kwa NHC overnight, nilidhani angestahili kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, ainyooshe serikali kama alivyoibadili NHC!.

Ungeweka list ya wahusika wa kuwajibishwa with their roles, then Mchechu would be the last one simply because ni co- owner!, ila kitu ambacho nakubali ni tukio hili, limetoa funzo kwa NHC, to keep hands off, but eyes on kwenye hizi joint venture!.
Pasco.

Kungekuwa kuna mtu wako amefia kwenye hilo jengo usingeharisha namna hii
 
Mkuu Joshi, No!, Never! ...but...!.

Kuna aina mbili kuu za majanga, natural disasters, na negligence!.
Ajali ya MV Bukoba the death toll was over and above 1000!, it was caused by negligence!, nani amewajibika?!.
Yale mabomu ya Mbagala pia ni negligence, nani amewajibika?!.
Yako majanga makubwa kibao tuu ya kitaifa yanasababishwa na uzembe tuu, nani huwa anawajibika?!.
Utamaduni wa kuwajibika, ilizikwa na Nyarere!.

Tukiachana na utamaduni wa kuwajibika, tumebakiwa na huu wa kuwajibishwa, miongoni mwa wanaotakiwa kuwajibishwa ni watendaji wazembe wote!. Jee Mchechu yumo?, what role does he has?. Tembelea website ya NHC mkataba wa joint venture uko wazi plus roles and responsibilities za each party!.

Kwa transformation Mchechu aliyoifanya kwa NHC overnight, nilidhani angestahili kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, ainyooshe serikali kama alivyoibadili NHC!.

Ungeweka list ya wahusika wa kuwajibishwa with their roles, then Mchechu would be the last one simply because ni co- owner!, ila kitu ambacho nakubali ni tukio hili, limetoa funzo kwa NHC, to keep hands off, but eyes on kwenye hizi joint venture!.
Pasco.

Mkuu Pasco,

Unachosema hapa ni kuwa kwa kuwa MV Bukoba hakuwajibika mtu basi tuendelee hivyo hivyo watu wanakufa hakuna wa kuwajibika kwa sababu eti uwajibika ulizikwa to enzi za Nyerere! Naaa Naaah!

Mwingine anadai Loawassa kawajibika imesaidia nini? makubwa haya! basi wale wahandisi na Halmashauri, contarctor na Mr Ladha watolewe kizuizini wanaonewa.
 
akishajiuzulu ndo what, kwani yale majengo mengine yalodondoka alihusika yeye, kujiuzulu kwa sababu mfanyakazi wako kakosea haina tija kwani itacreate watu kufanya makusudi ili kuwatoa wasiowapenda kwenye title ndo mana hata Lowassa alipojiuzulu iliishia kula kwake tu, mikataba mibovu inaendelea tu kusainiwa na urais ndo asahau kwani tutakuwa watanzania wa ajabu kama tutampa nchi mtu ambae hata mbwa wa ikulu akibweka bila sababu yeye anajiuzulu on behalf
Mkuu naomba ukae kimya kwasababu inaonekana dhana ya uwajibikaji imekuzidi kipimo.
 
Back
Top Bottom