[emoji385] [emoji385] [emoji385] [emoji385] [emoji385]nzagamba baby.............
kwa picha tu nahisi inanuka k na mikojo ya katereroNatumai nyote mna jioni njema kabisa kama ilivyo kwa upande wangu.
Napenda kutumia fursa hii kuwataarifu nyote kuwa iwapo ikatokea unakuja mjini Bariadi kwa shughuli yoyote ile, iwe kikazi, kibiashara, au hata kubanjuka na mchepuko wako basi Nzagamba ya Migato Guest House ndo pahala pako.
Hii ni guest house yangu mimi mwenyewe Ngabu. Yaani mimi ndo owner na operator.
Hivyo usalama wako na faragha yako ni 100% guaranteed.
Tuna all year round special kwa wanaJF wote.
Ukiitaja tu JF unapata punguzo la bei la asilimia 50.
Karibuni sana, karibuni nyote.
Nzagamba ya Migato Guest House baby.
View attachment 492043
Mbona hata mku.ndu wako unanuka....au haunuki?kw
kwa picha tu nahisi inanuka k na mikojo ya katerero
Napafahamu hapa!kunguni wameisha?Natumai nyote mna jioni njema kabisa kama ilivyo kwa upande wangu.
Napenda kutumia fursa hii kuwataarifu nyote kuwa iwapo ikatokea unakuja mjini Bariadi kwa shughuli yoyote ile, iwe kikazi, kibiashara, au hata kubanjuka na mchepuko wako basi Nzagamba ya Migato Guest House ndo pahala pako.
Hii ni guest house yangu mimi mwenyewe Ngabu. Yaani mimi ndo owner na operator.
Hivyo usalama wako na faragha yako ni 100% guaranteed.
Tuna all year round special kwa wanaJF wote.
Ukiitaja tu JF unapata punguzo la bei la asilimia 50.
Karibuni sana, karibuni nyote.
Nzagamba ya Migato Guest House baby.
View attachment 492043
Lini walijaa?Napafahamu hapa!kunguni wameisha?
Nani huyo? Lucy aka Ms. Bariadi wa zamani?We Nyani Ngabu kumbe hua upo hapo tu Bariadi? sawa bhana nikija ntakucheki.nina mchepuko huko wa kinyantuzu umekwenda hewani mithili ya ngongoti japo mimi nipo huku chini kwenye magoti yake.karibu The RockCity
No..kiko kifaa kingine hapo mjini.ntakuonyesha usijali nikija hapoNani huyo? Lucy aka Ms. Bariadi wa zamani?
Bado wako wachache?Lini walijaa?
Tuone hata chumba kimoja...Thank you, kindly.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Natumai nyote mna jioni njema kabisa kama ilivyo kwa upande wangu.
Napenda kutumia fursa hii kuwataarifu nyote kuwa iwapo ikatokea unakuja mjini Bariadi kwa shughuli yoyote ile, iwe kikazi, kibiashara, au hata kubanjuka na mchepuko wako basi Nzagamba ya Migato Guest House ndo pahala pako.
Hii ni guest house yangu mimi mwenyewe Ngabu. Yaani mimi ndo owner na operator.
Hivyo usalama wako na faragha yako ni 100% guaranteed.
Tuna all year round special kwa wanaJF wote.
Ukiitaja tu JF unapata punguzo la bei la asilimia 50.
Karibuni sana, karibuni nyote.
Nzagamba ya Migato Guest House baby.
View attachment 492043
Anazingua huyu Mpuuzi, ameona MIAFRIKA WAJINGA SANA.You're a liar. I know the owner of Nzagamba ya Migato nearby Sunga Kingdom. The owner doesn't know even how to speak Swahili. When did the man joined jf???
Haha eti karibu sana kunguni.... Id hiziKaribu saaana Kunguni.
Halafu kumbe ukweni ni hapo Maswa tu?
Jirani kabisa hapo aisee.