Uwapo mjini Bariadi...unakaribishwa sana

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,252
113,648
Natumai nyote mna jioni njema kabisa kama ilivyo kwa upande wangu.

Napenda kutumia fursa hii kuwataarifu nyote kuwa iwapo ikatokea unakuja mjini Bariadi kwa shughuli yoyote ile, iwe kikazi, kibiashara, au hata kubanjuka na mchepuko wako basi Nzagamba ya Migato Guest House ndo pahala pako.

Hii ni guest house yangu mimi mwenyewe Ngabu. Yaani mimi ndo owner na operator.

Hivyo usalama wako na faragha yako ni 100% guaranteed.

Tuna all year round special kwa wanaJF wote.

Ukiitaja tu JF unapata punguzo la bei la asilimia 50.

Karibuni sana, karibuni nyote.

Nzagamba ya Migato Guest House baby.

IMG-20170331-WA0050.jpg
 
Wow fantastic mi nitakuja tu kwaajili yako ili nikuonee kwahiyo niandalie chumba changu special
 
hongera Ngabu tukibahatika kufika huko tutakujapo kulala na kukuona
 
Aseeee ukweni kwangu n Maswa apo mzew Ngabu so ntajiyahod nifike hapo npumzike na dadako angalu siku 2 au 3 si unajuwa mkoani kwetu apo!!!
Karibu saaana Kunguni.

Halafu kumbe ukweni ni hapo Maswa tu?

Jirani kabisa hapo aisee.
 
Nimependa sana hilo jina la Kibantu la Guest House

Nikija Bariadi nitafanya kila niwezalo ilimradi nitie hii miguu yangu mahala hapo.
 
Nimependa sana hilo jina la Kibantu la Guest House

Nikija Bariadi nitafanya kila niwezalo ilimradi nitie hii miguu yangu mahala hapo.
Shukrani sana AZ.....

Ukija utanikuta hata mwenyewe hapo...
 
Nikishuka stand ya Salunda naelekea wapi?, iko mtaa upi karibu na wapi?
 
Back
Top Bottom