balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,513
- 15,154
Ukiwa CCM unafuzu kuwa binadamu anayeishi bila ubongoUkishaona tu umekuwa MWANASIASA, basi utambue fika umehitimu pia SHAHADA ya UNAFIKI.
Ukiwa CCM unafuzu kuwa binadamu anayeishi bila ubongoUkishaona tu umekuwa MWANASIASA, basi utambue fika umehitimu pia SHAHADA ya UNAFIKI.
Justification zao hazina maana. Yaani wametumia miezi 2 Kuja na hili jibu la uwanja wa Geita. Kwa uchumi wetu Tanzania haihitaji viwanja vingi vya ndege kihivyo.Jana JK alitetea uwanja wa ndege wa Chato akasema ni uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita, na tena akawauliza wasikilizaji kama hawakutaka mkoa huo uwe na uwanja wa ndege.
Nami namuuliza JK, uwanja wa ndege wa mkoa wa Pwani uko wapi?
Mkoa wa Pwani umesambaa kuanzia Bagamoyo, Chalinze, Kisarawe, Mkuranga, Kibiti, Rufiji, kote huko uwanja wake wa ndege uko wapi? Mkoa wa Morogoro una kale ka-strip ka vumbi, je nao haustahili kuwa na airport?
Je, Simiyu, Manyara nako airports zao ziko wapi?
Usimfananishe Nyerere na kitukoMagufuli ni shujaa kama Nyerere
Kwahiyo utoke mainland ukapande charter plane kisiwani, uko ccm kuna mtu mwenye akili kweli?Uko Mafia
Hasa akijiunga na mboga mboga..huyo atakua na first class ya unafiki na kujipendekeza.Ukishaona tu umekuwa MWANASIASA, basi utambue fika umehitimu pia SHAHADA ya UNAFIKI.
Anatosha kwenye ***** yako.Ungewekwa Morogoro bado mngesema Simiyu kwabiyo haya ya kulalamika ni hulka ya Binadamu.
October 28th jura kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Fikra finyu zinakusumbua. Ukiwa mkazi wa Pwani sio lazima utimie kiwanja kilicho Pwani tu.Kwahiyo utoke mainland ukapande charter plane kisiwani, uko ccm kuna mtu mwenye akili kweli?
Sahihi kabisa ....wewe ni sampuli ya washabiki na wanazi wa mkazi wa Brussels...kama wewe huna adabu unaweza kutukana strangers je huyo muasisi wa ubongo wako yupoje? No wonder anawatukana hadi Polisi.
Ebu nambie kunatusi gani hapo..?sema mindset zenu mboga mboga zimejaa vumbi..endelea kuimba mapambio na kumtukuza mungu mtu wenu.Sahihi kabisa ....wewe ni sampuli ya washabiki na wanazi wa mkazi wa Brussels...kama wewe huna adabu unaweza kutukana strangers je huyo muasisi wa ubongo wako yupoje? No wonder anawatukana hadi Polisi.
October 28th kura za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Hahahah! Usikute PAYE yangu ndio mshahara wako wewe acha madharau kijana.Ebu nambie kunatusi gani hapo..?sema mindset zenu mboga mboga zimejaa vumbi..endelea kuimba mapambio na kumtukuza mungu mtu wenu.
Being mboga mboga ni shame kwa familia na jamii yako..na ukute upo kwa shemeji yako unasubiri ugali huna future yeyote bure kabisa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Jana JK alitetea uwanja wa ndege wa Chato akasema ni uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita, na tena akawauliza wasikilizaji kama hawakutaka mkoa huo uwe na uwanja wa ndege.
Nami namuuliza JK, uwanja wa ndege wa mkoa wa Pwani uko wapi?
Mkoa wa Pwani umesambaa kuanzia Bagamoyo, Chalinze, Kisarawe, Mkuranga, Kibiti, Rufiji, kote huko uwanja wake wa ndege uko wapi? Mkoa wa Morogoro una kale ka-strip ka vumbi, je nao haustahili kuwa na airport?
Je, Simiyu, Manyara nako airports zao ziko wapi?
Wenye paye hawanaga empty wa head kama wewe..punguza mhemko polepole..Hahahah! Usikute PAYE yangu ndio mshahara wako wewe acha madharau kijana.
October 28th wewe na familia yako mkampigie kura JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Huwezi kujua kwa kuwa siyo field yako inayohusiana na ndege! Sisi tunajua! Kwa mfano kama uwanja upo ngerengere utakuwa punguani uweke uwanja mwingine wenye hadhi ya Ngeregere hapo Chalinze au maeneo mengine yoyote ya Kibaha. Pia kama huna taarifa uwanja wa Dar katika long term plan uwanja wa Kimataifa utajengwa maeneo ya Kibaha. Bagamoyo uwanja wa ndege mdogo upo maeneo ya Kerege Bagamoyo baada ya kupita shule ya Baobao!Kwani Dar es salaam ni mkoa wa Pwani? na hiyo Ngerengere ni mkoa wa Pwani.
Bagamoyo airport sijawahi kuisikia, labda ndio unijulishe leo kwamba ipo na uelekeze ilipo.
Kerege kuna uwanja wa ndege? Kama ule wa Chato? Halafu hauonekani? Labda ni uwanja wa maruhani au wale warukao na ungo usiku! Wacha nicheke tu maana hakuna namna!Huwezi kujua kwa kuwa siyo field yako inayohusiana na ndege! Sisi tunajua! Kwa mfano kama uwanja upo ngerengere utakuwa punguani uweke uwanja mwingine wenye hadhi ya Ngeregere hapo Chalinze au maeneo mengine yoyote ya Kibaha. Pia kama huna taarifa uwanja wa Dar katika long term plan uwanja wa Kimataifa utajengwa maeneo ya Kibaha. Bagamoyo uwanja wa ndege mdogo upo maeneo ya Kerege Bagamoyo baada ya kupita shule ya Baobao!
Huwezi jua wewe. Ulitaka uwepo kama wa Dar au?Kerege kuna uwanja wa ndege? Kama ule wa Chato? Halafu hauonekani? Labda ni uwanja wa maruhani au wale warukao na ungo usiku! Wacha nicheke tu maana hakuna namna!
Mkubwa tumeambiwa airport ya Chato ni airport ya mkoa wa Geita. Ni mkoa upi mwingine wenye 'airport ya mkoa' kama ile ya Chato?Huwezi jua wewe. Ulitaka uwepo kama wa Dar au?
Jana JK alitetea uwanja wa ndege wa Chato akasema ni uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita, na tena akawauliza wasikilizaji kama hawakutaka mkoa huo uwe na uwanja wa ndege.
Nami namuuliza JK, uwanja wa ndege wa mkoa wa Pwani uko wapi?
Mkoa wa Pwani umesambaa kuanzia Bagamoyo, Chalinze, Kisarawe, Mkuranga, Kibiti, Rufiji, kote huko uwanja wake wa ndege uko wapi? Mkoa wa Morogoro una kale ka-strip ka vumbi, je nao haustahili kuwa na airport?
Je, Simiyu, Manyara nako airports zao ziko wapi?
Uko Bagamoyo. Ni kama ule wa Morogoro.